CCM wazushi Sana. Hapa kinachowashangaza ni nini?

CCM wazushi Sana. Hapa kinachowashangaza ni nini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna wakati inakera lakini ndiyo aina ya maisha waliyoamua kuishi CCM.

CCM tangu mwaka 1995 wamekuwa wanaongoza nchi hii. Kwa ivo umaskini wa watanzania chanzo chake ni wao kuwepo madarakani.

Kinachokera ni jinsi Kila wakiona umaskini wa watanzania huwa wanajifanya kusikitika au kushangaa.

Hebu angalia hiyo video hapo chini na uone kitu gani cha ajabu wasichokijua wao walichokuwa wanakishangaa!!


Wanajifanya kuwa na uchungu wakati wao ndiyo chanzo.
 
Kuna wakati inakera lakini ndiyo aina ya maisha waliyoamua kuishi CCM.

CCM tangu mwaka 1995 wamekuwa wanaongoza nchi hii. Kwa ivo umaskini wa watanzania chanzo chake ni wao kuwepo madarakani.

Kinachokera ni jinsi Kila wakiona umaskini wa watanzania huwa wanajifanya kusikitika au kushangaa.

Hebu angalia hiyo video hapo chini na uone kitu gani cha ajabu wasichokijua wao walichokuwa wanakishangaa!!
View attachment 3038489

Wanajifanya kuwa na uchungu wakati wao ndiyo chanzo.
we ishi maisha Yako achana na ccm utanishukuru
 
Kuna wakati inakera lakini ndiyo aina ya maisha waliyoamua kuishi CCM.

CCM tangu mwaka 1995 wamekuwa wanaongoza nchi hii. Kwa ivo umaskini wa watanzania chanzo chake ni wao kuwepo madarakani.

Kinachokera ni jinsi Kila wakiona umaskini wa watanzania huwa wanajifanya kusikitika au kushangaa.

Hebu angalia hiyo video hapo chini na uone kitu gani cha ajabu wasichokijua wao walichokuwa wanakishangaa!!
View attachment 3038489

Wanajifanya kuwa na uchungu wakati wao ndiyo chanzo.
Hapo utakuta wameenda msururu wa ma v8 yenye thamani ya bilion 2

Ova
 
Kinachoshangaza na kukera zaidi, uchaguzi ukifika watarudi kuomba kura na kuna wananchi watawachagua.
Binafsi nisinge walaumu CCM kama wangechaguliwa kihalali na wananchi hao kwa utashi wao wenyewe.

Nisinge sema chochote kabisa dhidi ya CCM iliyo wekwa madarakani kwa kura za wananchi walio shiriki kupiga kura HURU na kura zao zikahesabika kuwapa ushindi bila ya hila au hadaa ndani ya kura hizo.

Hili ndilo ninalo omba Mungu atusaidie, wananchi wawachague viongozi wao huru kabisa bila ya mizengwe yoyote ile.
 
Binafsi nisinge walaumu CCM kama wangechaguliwa kihalali na wananchi hao kwa utashi wao wenyewe.

Nisinge sema chochote kabisa dhidi ya CCM iliyo wekwa madarakani kwa kura za wananchi walio shiriki kupiga kura HURU na kura zao zikahesabika kuwapa ushindi bila ya hila au hadaa ndani ya kura hizo.

Hili ndilo ninalo omba Mungu atusaidie, wananchi wawachague viongozi wao huru kabisa bila ya mizengwe yoyote ile.
Pamoja na figisu za CCM kwenye uchaguzi lakini hata wakiamua uchaguzi uwe wa huru na haki bado kuna uwezekano wa wao kushinda, haitakua rahisi kwa wapinzani kama wengi wanavyofikiri. Bado kuna kundi kubwa sana la wananchi hauwaambii kitu kuhusu hicho chama.

Uchaguzi wa mwaka 2015 nilikua karani wa uchaguzi kwenye moja ya vituo uko vijijini kura walizopata wapinzani hata 10 hazikufika na uchaguzi haukua na figisu zozote pale kituoni.

Nchi hii bado ina kundi kubwa sana la wajinga ambao wanadanganyika kirahisi na wanapiga kura kwa kuongozwa na mahaba yao kwa vyama sio sera na utekelezaji wa kiongozi.
 
Pamoja na figisu za CCM kwenye uchaguzi lakini hata wakiamua uchaguzi uwe wa huru na haki bado kuna uwezekano wa wao kushinda, haitakua rahisi kwa wapinzani kama wengi wanavyofikiri. Bado kuna kundi kubwa sana la wananchi hauwaambii kitu kuhusu hicho chama. Uchaguzi wa mwaka 2015 nilikua karani wa uchaguzi kwenye moja ya vituo uko vijijini kura walizopata wapinzani hata 10 hazikufika na uchaguzi haukua na figisu zozote pale kituoni. Nchi hii bado ina kundi kubwa sana la wajinga ambao wanadanganyika kirahisi na wanapiga kura kwa kuongozwa na mahaba yao kwa vyama sio sera na utekelezaji wa kiongozi.
Pamoja na ushuhuda wako hapa, nikukumbushe tu kwamba uchaguzi si zoezi la siku hiyo hiyo moja hapo kituoni ulipokuwa ukifanyia 'ukarani' wako. Ukieleza kwa uhakika kwamba hao watu ulio washuhudia hapo kituoni hawakupewa ubwabwa jana yake ili siku ufuatayo wakawapigie kura hao walio washibisha kwa mlo mmoja huo,, hapo sitakuwa na hoja yoyote dhidi ya ushuhuda wako.

Ni rahisi kuwalaumu waTanzania na kuwaita majina, lakini tunashindwa kujuwa mitego chungu nzima wanayowekewa na hawa watekaji wetu.
 
Screenshot_20240710-190542.png

CCM woye!
 
Back
Top Bottom