Wakuu,
Tusameheane tu nimekulia nyumba ambayo baba, Mama, Bibi na Babu wote kwa ujumla na rejareja ni CCM.
Ukweli mchungu CCM HAIJADHAMIRIA kutuletea maendeleo ya kweli watu wa kusini, ukiangalia nguvu inayotumika awamu hii kuwekeza Kanda Kanda ya ziwa na kaskazini ni dhahiri mmetuona watu wa kusini hamnazo.
Na kwamba muda wa kuomba kura mnaamini huku kusini mtapata kiulaini. Sasa CCM yangu ya Urithi kumbukeni kuwa.
Rais ametembelea huko kanda pendwa na kutoa mabilioni
Katibu mkuu na mwenezi wake wanapita huko kukagua Miradi lukuki iliachwa na Bwana Yule.
Huku Lindi, Ruvuma, na Mtwara tunajua mtakuja kipindi cha kuomba kura tu hakuna jipya.
Huku hakuna kitu kikubwa mlichokuja kutuwekea kuanzia maji, barabara, umeme na elimu chakavu sambamba na uhaba wa walimu.
Nikiri wazi tu CCM haiwekezi kusini kwasababu inajua itapata kura tu. Sasa tambueni wapiga kura wa mwaka 2010 sio wale watakaopiga kura 2025.
Labda muendeleze ilani ya Baba yetu ya kupita bila kupingwa.
Nyie viongozi wa CCM endeleeni kuwekeza nguvu hukohuko, sisi wananchi wa Mtambaswala tuacheni tuendelee kuteseka na msije mpk muda wa kampeni.
Mabilioni ya Maji yametolea Arusha, Mabilioni ya Mikopo yametolea Kilimanjaro, Mabilioni yanatembea huko Kanda ya Ziwa.
Mabilioni Tanga. Mabilioni Dar.
USSR
ETWEGE
KINUJU
JOHN BAPTIST
utunzeni huu Uzi
Maendeleo hayana Chama
Tusameheane tu nimekulia nyumba ambayo baba, Mama, Bibi na Babu wote kwa ujumla na rejareja ni CCM.
Ukweli mchungu CCM HAIJADHAMIRIA kutuletea maendeleo ya kweli watu wa kusini, ukiangalia nguvu inayotumika awamu hii kuwekeza Kanda Kanda ya ziwa na kaskazini ni dhahiri mmetuona watu wa kusini hamnazo.
Na kwamba muda wa kuomba kura mnaamini huku kusini mtapata kiulaini. Sasa CCM yangu ya Urithi kumbukeni kuwa.
Rais ametembelea huko kanda pendwa na kutoa mabilioni
Katibu mkuu na mwenezi wake wanapita huko kukagua Miradi lukuki iliachwa na Bwana Yule.
Huku Lindi, Ruvuma, na Mtwara tunajua mtakuja kipindi cha kuomba kura tu hakuna jipya.
Huku hakuna kitu kikubwa mlichokuja kutuwekea kuanzia maji, barabara, umeme na elimu chakavu sambamba na uhaba wa walimu.
Nikiri wazi tu CCM haiwekezi kusini kwasababu inajua itapata kura tu. Sasa tambueni wapiga kura wa mwaka 2010 sio wale watakaopiga kura 2025.
Labda muendeleze ilani ya Baba yetu ya kupita bila kupingwa.
Nyie viongozi wa CCM endeleeni kuwekeza nguvu hukohuko, sisi wananchi wa Mtambaswala tuacheni tuendelee kuteseka na msije mpk muda wa kampeni.
Mabilioni ya Maji yametolea Arusha, Mabilioni ya Mikopo yametolea Kilimanjaro, Mabilioni yanatembea huko Kanda ya Ziwa.
Mabilioni Tanga. Mabilioni Dar.
USSR
ETWEGE
KINUJU
JOHN BAPTIST
utunzeni huu Uzi
Maendeleo hayana Chama