CCM ya Marekani imeanguka kwa kishindo. Propaganda zina mwisho

CCM ya Marekani imeanguka kwa kishindo. Propaganda zina mwisho

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Enyi wana CCM wa kweli, jifunzeni toka kwa wenzenu. Naona mmezoea kutumia propaganda kujisafisha ilhali wananchi wenye akili wanaona jinsi mlivyo wachafu na mnanuka.

Haya sasa ndugu zenu wa Democrats (CCM YA MAREKANI) mwaka huu wamefanya kama mnavyo fanyaga.

Wamewatumia akina Mwijaku wa Marekani, wametumia TBC na Clouds Tv za marekani lakini mwisho wa siku wamarekani wamesema HAPANA.

Mwakani kuna dalili za kutokea kitu kama hiki ila tofauti na CCM ya Marekani, nyie mtakufa mazima.

Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
Enyi wana CCM wa kweli, jifunzeni toka kwa wenzenu. Naona mmezoea kutumia propaganda kujisafisha ilhali wananchi wenye akili wanaona jinsi mlivyo wachafu na mnanuka.

Haya sasa ndugu zenu wa Democrats (CCM YA MAREKANI) mwaka huu wamefanya kama mnavyo fanyaga.

Wamewatumia akina Mwijaku wa Marekani, wametumia TBC na Clouds Tv za marekani lakini mwisho wa siku wamarekani wamesema HAPANA.

Mwakani kuna dalili za kutokea kitu kama hiki ila tofauti na CCM ya Marekani, nyie mtakufa mazima.

Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani.
Bado chichiemu ya kwetu.Tunasema kituokinachofuata ni Bongoooo.
 
aliyeratibu ziara ya rais kwenda marekani nadhani ni mpuuzi sana, hivi katika hali hii ya joto la kisiasa unawezaje kumtembelea rais wa marekani? haya sasa ndege ibadili gear angani iende cuba, sijui tunatumia SU29 au ndo hii hii 787-8!

manake tushanangwa kwa kumsika mkono putin sasa sijui tulitaka kufanya check and balance? yaani tangu aondoke balozi mahiga mambo ya nje pamekuwa pa hovyo sana.
 
Enyi wana CCM wa kweli, jifunzeni toka kwa wenzenu. Naona mmezoea kutumia propaganda kujisafisha ilhali wananchi wenye akili wanaona jinsi mlivyo wachafu na mnanuka.

Haya sasa ndugu zenu wa Democrats (CCM YA MAREKANI) mwaka huu wamefanya kama mnavyo fanyaga.

Wamewatumia akina Mwijaku wa Marekani, wametumia TBC na Clouds Tv za marekani lakini mwisho wa siku wamarekani wamesema HAPANA.

Mwakani kuna dalili za kutokea kitu kama hiki ila tofauti na CCM ya Marekani, nyie mtakufa mazima.

Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani.
Wewe hujui siasa hao kila muhula wanabadilisha vyama vyao hivyo..
 
aliyeratibu ziara ya rais kwenda marekani nadhani ni mpuuzi sana, hivi katika hali hii ya joto la kisiasa unawezaje kumtembelea rais wa marekani? haya sasa ndege ibadili gear angani iende cuba, sijui tunatumia SU29 au ndo hii hii 787-8!

manake tushanangwa kwa kumsika mkono putin sasa sijui tulitaka kufanya check and balance? yaani tangu aondoke balozi mahiga mambo ya nje pamekuwa pa hovyo sana.
Labda mheshimiwa alikuwa akienda kuongeza nguvu, mkuu. Huwezi kujua. Kwani hukumbuki kwamba Kamala naye aliwahi kuja hapa Tanzania mwaka jana?

You scratch my back, I scratch yours!

Halafu, mbona mchakato wenyewe wa uapisho bado? Mheshimiwa afanye mbinu fulani fulani kwa ushawishi wake, ili Kamala aingie Jumba Jeupe.

Sidhani kama Bongo tunaweza kushindwa hilo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Labda mheshimiwa alikuwa akienda kuongeza nguvu, mkuu. Huwezi kujua. Kwani hukumbuki kwamba Kamala naye aliwahi kuja hapa Tanzania mwaka jana?

You scratch my back, I scratch yours!

Halafu, mbona mchakato wenyewe wa uapisho bado? Mheshimiwa afanye mbinu fulani fulani kwa ushawishi wake, ili Kamala aingie Jumba Jeupe.

Sidhani kama Bongo tunaweza kushindwa hilo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
too late, labda tu mchukue awe advisor kama paka alivyomchukua Tony Blair, ila kuwakaribisha akina Creig inabidi kujitafakali kwa umakini
 
Trump alisema akiingia ikulu atavimaliza vita vya Ukrain ndani ya masaa mawili, tatizo dogo alilibeza linaweza mwacha akandwe kisawasawa hadi aseme poh na vita vikaisha.
 
Labda mheshimiwa alikuwa akienda kuongeza nguvu, mkuu. Huwezi kujua. Kwani hukumbuki kwamba Kamala naye aliwahi kuja hapa Tanzania mwaka jana?

You scratch my back, I scratch yours!

Halafu, mbona mchakato wenyewe wa uapisho bado? Mheshimiwa afanye mbinu fulani fulani kwa ushawishi wake, ili Kamala aingie Jumba Jeupe.

Sidhani kama Bongo tunaweza kushindwa hilo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kule hakuna kuiba masanduku ya kura wala police kutumika kuiba na kupiga kura, wala kuandikisha watoto na waliokufa.
 
Donald Trump aliwahi kusema Africa inatakiwa itawaliwe tena miaka 100 na viboko vingi
 
Enyi wana CCM wa kweli, jifunzeni toka kwa wenzenu. Naona mmezoea kutumia propaganda kujisafisha ilhali wananchi wenye akili wanaona jinsi mlivyo wachafu na mnanuka.

Haya sasa ndugu zenu wa Democrats (CCM YA MAREKANI) mwaka huu wamefanya kama mnavyo fanyaga.

Wamewatumia akina Mwijaku wa Marekani, wametumia TBC na Clouds Tv za marekani lakini mwisho wa siku wamarekani wamesema HAPANA.

Mwakani kuna dalili za kutokea kitu kama hiki ila tofauti na CCM ya Marekani, nyie mtakufa mazima.

Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Marekani.
Mwanamke hawezi kuwa kiongozi ,ila wanalazimisha tu kwa tamaa zao na uroho wa madaraka
 
Back
Top Bottom