CCM yaachwa solemba

nawapongeza mamburura wa upinzani mtaendelea kuwa wapinzani tu,hamna jipya zaidi kujipa moyo ndani ya jf,nyie wote mmesoma kwa serikali hii hii ya ccm,tofaut na hapo ni hakuna zaidi nyie mateja tu
 
Duh! umeamua kumtosa kada mwenzio hivihivi! kisa kasema ukweli...magamba yana kazi mwaka huu!
 
CCM wana vituko.Kuwa na marais 2 na makam 3 upande wa muungano na Zanzibar siyo gharama.Gharama ni kuwa na serekali ya Tanganyika.
 
tupa tupa ni lijinga la ufipa fc project linalojifanya ni ccm

Kwenye chama kuna watu wenye mitazamo tofauti tofauti usimkatae mwenzako ambae ana mtazamo tofauti na wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…