CCM yafanya maamuzi mazito Kamati Kuu?


Nashukuru sana kwa majibu

Sio kweli kuwa hakuna watanzania hawalipi kodi ya allowances labda wafanyakazi wa serikalini ndo hawalipi kodi kwa hili. Hii ndo wanajizunia mana mshahara ni mdogo but allowances ni nyingi mpaka inapitiliza mshahara. If you personally or as chadema team mkalivalia njuga, i believe tanzanians will be responsible and accountable for their politics.

Nijuavyo kwenye baadhi ya makampuni binafsi ambayo yapo smart ni kuwa hakuna sitting allowances kwenye vikao wala warsha but kuna per diem ambayo wewe umeiita direct transfer. Ninaelewa kuwa ni direct transfer kwa kuwa unalipi malazi, chakula na may be bevareges. Makampuni hayo ambayo most of us hatuyapendi ni kuwa unaporudi unaretire na left over unarudisha kwa kampuni.

Any extra allowance ambayo host wa warsha au kozi anatoa. e.g. Bunge likimwita Mwanyika wa Barrick na mkampa posho hatakiwi kupokea mana ni double payment. I have no problem na majaji na wabunge to get xtra allowance cos sometimes you work on the difficult situations. But hili la kutokatwa kodi limenishangaza sana.... Can't chadema work on it? Makampuni smart wakitoa extra allowance e.g. Mwanyika tena akipewa likizo ya kwenda marekani na familia yake. akapewa advance ya million 10, anatakiwa akirudi aonyeshe risiti ya matumizi then iliyobaki anakatwa kodi as his income. Ninao ushahidi wa hili suala na huoni kama makampuni ya nje yanafuata sheria kuliko sisi wenyewe? Huoni kama chadema wakilishikia bango na ikawa implemented watu watakuwa makini na politics and huenda ndo mwanzo wa siasa za nchi hii kuwa rahisi?

Kwa mtazamo wangu ulipaji kodi bado ni tatizo. nahisi ni kutokana na mfumo uliopo. kama tukiwa na mfumo mzuri ambao kila mtu inambidi alipe kodi there is no way kuwa na mafisi na pia watanzania will get feelings of their accountability and responsibility of the local politics badala ya wanasiasa kuwa miungu watu simply ya ukwepaji kodi. CHADEMA wakianzia hapa katika mkakati huu, i believe ndoto zitatimia na pia there will be need kwa wafanyabiashara kuwa marafiki uchwara wa chama tawala.

Better bussinessmen work for politician rather than politician works for businessmen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…