kwanza mkuu FM ES tunashukuru kwa kutupa taarifa ambazo bado zinakuwa chunguni, yani bado motomoto. Na endelea na moyo huohuo, manake habari njema ni ile ipatikanayo mapema.
Kuhusu kutofautiana kimawazo kwa mada zitolewazo. Nadhani kutofautiana kulikuwepo, kupo na kutaendelea kuwepo. Hivyo mkuu sio kila mtu anayetofautiana nawe basi ana nia mbaya. Kumbuka uono wako wewe Mkuu sio sawa na uono wa Mfumwa. Tunaweza wote tunaangalia mbele, kumbe mmoja ana ona km 6, mwingine km 3. Hivyo tuendeleze forum yetu kwa hoja.
Nilitamani kusema kama ulivyosema, ndipo nikakumbuka usemi huu-I disapprove of what you say,but I will defend to the death your right to say it-Wana JF tukikumbushana kama hivi utaendelea kuwa juuuuuu.
----------------
Sema na watu upate kiatu.