Uchaguzi wa wazinzibari kugombea uenyekiti badala ya watu wa bara na wagombea kutoka bara waliomba uenyekiti kupewa nafasi ya umakamu uenyekiti kwa gia ya kuwaadhibu mafisadi inaweza isifanikiwe. Kwa nini nasema hivyo.....
Tunajua sehemu kubwa ya umoja wa vijana ipo Tanzania bara, kwa maana hiyo hawa wagombea kutoka bara(tunaohisi wanakuwa backed na mafisadi) kwa kiasi kikubwa wana influence kubwa kwa wajumbe na viongozi wengi upande wa bara. Kwa maana ya kupewa nafasi ya kugombea umakamu mwenyekiti iwapo mmojawapo atashinda anaweza still akawa na influence na nguvu kubwa kuliko mwenyekiti (mgeni kutoka znz) kwa sababu ya mtandao wa viongozi wa chini waliojijengea. Hii itamaanisha nguvu ya mwenyekiti itakuwa limited na still mafisadi watakuwa still na influence kubwa kulinda mambo yao.
Dawa ilikuwa kukata kila jina kama kweli sababu ilikuwa ni kuwa wanakuwa backed na mafisadi kwa hiyo mwenyekiti wa CCM akahisi kuwa nia ya kusafisha chama haitatimia. Otherwise muono safari bado ni ndefu kwa CCM kama kweli inataka kujisafisha.
Tunajua sehemu kubwa ya umoja wa vijana ipo Tanzania bara, kwa maana hiyo hawa wagombea kutoka bara(tunaohisi wanakuwa backed na mafisadi) kwa kiasi kikubwa wana influence kubwa kwa wajumbe na viongozi wengi upande wa bara. Kwa maana ya kupewa nafasi ya kugombea umakamu mwenyekiti iwapo mmojawapo atashinda anaweza still akawa na influence na nguvu kubwa kuliko mwenyekiti (mgeni kutoka znz) kwa sababu ya mtandao wa viongozi wa chini waliojijengea. Hii itamaanisha nguvu ya mwenyekiti itakuwa limited na still mafisadi watakuwa still na influence kubwa kulinda mambo yao.
Dawa ilikuwa kukata kila jina kama kweli sababu ilikuwa ni kuwa wanakuwa backed na mafisadi kwa hiyo mwenyekiti wa CCM akahisi kuwa nia ya kusafisha chama haitatimia. Otherwise muono safari bado ni ndefu kwa CCM kama kweli inataka kujisafisha.