CCM yafanya maamuzi mazito Kamati Kuu?

CCM yafanya maamuzi mazito Kamati Kuu?

Briefly More dataz kutoka CC, Dar:-

2. Kikao kwa kauli moja kimeamua kuwafuta wagombea wote wa uchaguzi wa uenyekiti wa UV-CCM kutoka bara, na kama alivyoomba rais kuwaachia nafasi hiyo wagombea watatu wa kutoka Visiwani.

3. Mwenyekiti wa kikao rais wa jamhuri, mapema aliomba kupitihswa kwa hoja, aksiema wka uchungu mkubwa sana kwamba kampeni za uchaguzi huo zilikwua zimeharibiwa sana na rushwa na hisia nzito zilizomhusisha hata mtoto wake, akaomba kuepusha mgawanyiko zaidi kwa kuwafuta wagombea wote wa kutoka bara, CC wameipitisha tayari.

- ...kuhusu Nape, CC imeamua kuukataaa kabisa uamuzi wa UV-CCM uliotolewa dhidi ya Nape, na kwamba rufaa yake itasikilizwa tena huko NEC, tarehe 8 na 9.

Mkuu,

Nina issues na hizi dataz.

Moja, kwani Umoja wa Vijana, kama ilivyo katika vyombo, vikao, na ngazi zingine za CCM, hawana utaratibu wa kuwa na viongozi tofauti kutoka bara na visiwani ? Itawezekanaje Rais ajiamulie kushauri eti wagombea wote watoke Zanzibar ?

Mbili, Kikwete amewezaje kutamka CCM kuna rushwa ? Hiyo kwake ni kukubali machafu ya chama tawala, na akitoa madai hayo anaweza kubanwa achukue hatua kwa kutumia ushahidi ambao atadaiwa, maana rushwa ni kosa la jinai. Kikwete atawezaje kweli kutangaza CCM kuna rushwa ?

Tatu,
umetuambia kwamba CCM watasikiliza rufani ya Nape. Lakini hapo hapo umetoka kutuambia kwamba CCM wameshaamua, wameshapitisha kwamba ni Wazenji tu ndio watakaogombea. Hapo unaona pamekaa sawa kweli ?

Nne, Kikwete hawezi kumuongelea mtoto wake kwenye kikao cha Central Committee. Hususan kumuhusisha na rushwa. Ni kitu bizarre!!!

Tano, kuna thread ilianzishwa kabla inasema imekuwaje kikao cha CCM kimefanyika Ikulu. Wewe ukakimbia kutafuta "dataz" kali zaidi lakini zilipofika zikaonekana kama dead on arrival kwa sababu zilidai kikao kimefanyika Dodoma, hadi Wakuu kina Masatu walipokushtua. Ulichanganya vipi data hapo?

Unaona matatizo ya "dataz" zako ?

Sasa anza mashambulizi lakini I hope unaelewa kwa nini wengine huwa tunakataa kuzimeza nzima nzima.
 
Demokrasi imepigwa kikumbo kwa mara nyingine tena. Hivi hiki chama hakika kanuni kinaongozwa kwa hisia.
 
Mkuu Sanda Matuta, heshima mbele,
Hii nawezekana mkuu, maana hata Yesu Kristo alikuwa anakula na pia alikuwa rafiki yao Watoza ushuru na wenye dhambi, lakini yeye hakuwa hivyo.

Kwa hiyo huko CCM huyo Yesu Kristo ni nani anayefananishwa nae? Ingawa naweza kuikubali katika muktadha wa "Msafara wa mamba, na kenge wamo", sijawahi kuona wala kusikia kuwa mamba wameonekana kwenye msafara wa kenge! Na kwa kiingereza kuna nyingine: "Birds of a feather flock together".
 
..............
4. Kamati kuu imeamua kupiga marufuku mtindo wa kutoa alama kwa viongozi wa Jumuiya zake, kwa mantiki hiyo kikao hicho kimeamua kuibatili alama ya E aliyopewa mmoja wa wagombea wa uenyekiti wa UV-CCM ndugu Nape, na pia kimeondoa alama ya E aliyopewa mgombea mmoja wa nafasi ya mwenyekiti wa UWT Bi Mamuya, na kuwapa alama ya A.

- Lakini CC imeamua kwamba hataruhusiwa kugombea nafasi hiyo, yaani Bi Mamuya, kuhusu Nape, CC imeamua kuukataaa kabisa uamuzi wa UV-CCM uliotolewa dhidi ya Nape, na kwamba rufaa yake itasikilizwa tena huko NEC, tarehe 8 na 9.


Mkuu asante kwa data lakini hii sehemu niliyonukuu hapo juu umenichanganya kidogo. Yaani CC imepiga marufuku mtindo wa kutoa alama kwa wagombea, na hapo hapo CC yenyewe imetoa alama ya A! Ni kwamba wamepiga marufuku wengine wasitoe alama hizo (iwe ni kazi ya CC peke yake), au wamekataza mtindo huo ndani ya chama? Na pili hawa waliopewa alama za A na bado wakakataliwa kugombea, hiyo A ina maana gani huko CCM?
 
Mkuu asante kwa data lakini hii sehemu niliyonukuu hapo juu umenichanganya kidogo. Yaani CC imepiga marufuku mtindo wa kutoa alama kwa wagombea, na hapo hapo CC yenyewe imetoa alama ya A! Ni kwamba wamepiga marufuku wengine wasitoe alama hizo (iwe ni kazi ya CC peke yake), au wamekataza mtindo huo ndani ya chama? Na pili hawa waliopewa alama za A na bado wakakataliwa kugombea, hiyo A ina maana gani huko CCM?[/QUOTE

Hao walipewa E kwa mijungu,E manake mtu hata katiba ya chama haijui.Sasa mtu kama Mamuya yuko CCM miaka kibao na keshashika nafasi kibao,leo hii wanampa alam ya E
Hiyo A hata kama hawatagombea lakini inawapa heshima ndani na nje ya chama
 
Mkuu asante kwa data lakini hii sehemu niliyonukuu hapo juu umenichanganya kidogo. Yaani CC imepiga marufuku mtindo wa kutoa alama kwa wagombea, na hapo hapo CC yenyewe imetoa alama ya A! Ni kwamba wamepiga marufuku wengine wasitoe alama hizo (iwe ni kazi ya CC peke yake), au wamekataza mtindo huo ndani ya chama? Na pili hawa waliopewa alama za A na bado wakakataliwa kugombea, hiyo A ina maana gani huko CCM?

Mkuu Kithuku,

Heshima mbele sana, mimi sio mjumbe wa CC, nilizozifikisha ni dataz za kikao, naomba kurudia kwamba CC wameamua kubadili hizo alama na kua A, lakini wamemua kua ni tabia ambayo hawaitaki irudiwe tena, yaani huo mtindo wa kuwapa viongozi wake wa Jumuiya alama za aina yoyote in the future,

Lakini kwa this case wameamua kuzibadili alama za chini walizopewa viongozi hawa wawili, ingawa pia wameamua kwamba Mamuya hawezi kugombea kama ilivyo amriwa na CC ya uwt, na kwamba Nape bado rufaa yake itapelekwa NEC kwa uamuzi wa mwisho, lakini kwa kauli moja CC imerudia tena msiammo wake wa kikao chake cha mwisho wa kukataa kabisa uamuzi wa UV-CCM wa kumfukuza UV-CCM, bado ni lazima NEC wakahitimishe,

Sasa kama NEC wataamua kutengua a uamuzi wa CC na kumruhusu Nape kugombea, that is not up to me, lakini naomba nikumbushe tena na tena kwamba mimi sio mjumbe wa CC, mimi a proud JF member ninahabarisha tu yaliyojiri huko ndani, habari zaidi subiri kutoka wka Chiligati kesho au keshokutwa, sasa hivi ninasubiri more dataz ili nizimwage kama kawa!

Ahsante Bros!
 
Mkuu,

Nina issues na hizi dataz.

Moja, kwani Umoja wa Vijana, kama ilivyo katika vyombo, vikao, na ngazi zingine za CCM, hawana utaratibu wa kuwa na viongozi tofauti kutoka bara na visiwani ? Itawezekanaje Rais ajiamulie kushauri eti wagombea wote watoke Zanzibar ?

Mbili, Kikwete amewezaje kutamka CCM kuna rushwa ? Hiyo kwake ni kukubali machafu ya chama tawala, na akitoa madai hayo anaweza kubanwa achukue hatua kwa kutumia ushahidi ambao atadaiwa, maana rushwa ni kosa la jinai. Kikwete atawezaje kweli kutangaza CCM kuna rushwa ?

Tatu,
umetuambia kwamba CCM watasikiliza rufani ya Nape. Lakini hapo hapo umetoka kutuambia kwamba CCM wameshaamua, wameshapitisha kwamba ni Wazenji tu ndio watakaogombea. Hapo unaona pamekaa sawa kweli ?

Nne, Kikwete hawezi kumuongelea mtoto wake kwenye kikao cha Central Committee. Hususan kumuhusisha na rushwa. Ni kitu bizarre!!!

Tano, kuna thread ilianzishwa kabla inasema imekuwaje kikao cha CCM kimefanyika Ikulu. Wewe ukakimbia kutafuta "dataz" kali zaidi lakini zilipofika zikaonekana kama dead on arrival kwa sababu zilidai kikao kimefanyika Dodoma, hadi Wakuu kina Masatu walipokushtua. Ulichanganya vipi data hapo?

Unaona matatizo ya "dataz" zako ?

Sasa anza kunitusi lakini I hope unaelewa kwa nini wengine huwa tunakataa kuzimeza nzima nzima.

Mkuu unaambiwa "mchamba sana......."Wewe meza mkuu kama yalivyo,usitafune wala nini,siyo mawe hayo.Hicho kama chakula dengu!

A)Ushaambiwa viongozi wote wa bara wananuka rushwa,wewe unawang'ang'ania.Kama hujui mwenyekiti wa wa ccm ana veto,ukibisha waulize kina Mangula,Malecela,Salim,Sumaye watakwambia yaliyowakuta 2005.
B)Hii siyo mara ya kwanza Kikwete kusema ccm kuna rushwa.Rejea chaguzi za ujumbe wa ccm sijui wanaita nec sijui nini wenyewe.Kikwete mpaka alituma usalama wa taifa kusimamia hizi chaguzi na wana ccm wengi tu walidakwa wakiwemo wabunge,sijui kesi zao ziliishia wapi??
Kwahiyo Kikwete hawezi kubanwa na yeyote na ukichukulia kikao ni cha chama na yaliyojili huko mengi wanajua wenyewe.
C)Watapitia rufaa ya Nape siyo kuja kumruhusu agombee bali kumrudishia nafasi zake zote alizokuwa nazo uv-ccm/ccm kabla kina Nchimbi na makamba hawajamsulubu!
D)Una sababu gani ya kusema kwamba Kikwete hawezi kumuhusisha na mwanae na rushwa ndani ya cc?Mkuu siasa siasa tu,hakuna undugu wala urafiki.Utajuaje,labda Mkulu anajibu mashambulizi kwa dogo kutokana na ile habari ya kubenea?
Kwahiyo dataz hazina tatizo,tuko pamoja mkulu FMES
 
Mkuu,

Nina issues na hizi dataz.

Moja, kwani Umoja wa Vijana, kama ilivyo katika vyombo, vikao, na ngazi zingine za CCM, hawana utaratibu wa kuwa na viongozi tofauti kutoka bara na visiwani ? Itawezekanaje Rais ajiamulie kushauri eti wagombea wote watoke Zanzibar ?

Mbili, Kikwete amewezaje kutamka CCM kuna rushwa ? Hiyo kwake ni kukubali machafu ya chama tawala, na akitoa madai hayo anaweza kubanwa achukue hatua kwa kutumia ushahidi ambao atadaiwa, maana rushwa ni kosa la jinai. Kikwete atawezaje kweli kutangaza CCM kuna rushwa ?

Tatu, umetuambia kwamba CCM watasikiliza rufani ya Nape. Lakini hapo hapo umetoka kutuambia kwamba CCM wameshaamua, wameshapitisha kwamba ni Wazenji tu ndio watakaogombea. Hapo unaona pamekaa sawa kweli ?

Nne, Kikwete hawezi kumuongelea mtoto wake kwenye kikao cha Central Committee. Hususan kumuhusisha na rushwa. Ni kitu bizarre!!!

Tano, kuna thread ilianzishwa kabla inasema imekuwaje kikao cha CCM kimefanyika Ikulu. Wewe ukakimbia kutafuta "dataz" kali zaidi lakini zilipofika zikaonekana kama dead on arrival kwa sababu zilidai kikao kimefanyika Dodoma, hadi Wakuu kina Masatu walipokushtua. Ulichanganya vipi data hapo?

Unaona matatizo ya "dataz" zako ?

Sasa anza mashambulizi lakini I hope unaelewa kwa nini wengine huwa tunakataa kuzimeza nzima nzima.

Inasikitisha mtu mzima mwenye akili timamu anapopoteza muda mwingi kwa habari ambayo anaamini ina walakini, au ni dead on its arrival, mimi habari kama hizo ambazo ninaamini kuwa ni mbovu au za uongo, huwa sizigusi kabisaa naruka ukurasa wa mbele zaidi.

Have a nice day bro, na soon tutakua na more dataz kutoka huko ndani, maana sasa hivi we are working on kikao cha siri cha mafisadi kilichofanyika leo baada ya CC, na habari za katibu mkuu mtarajiwa ambaye tayari tunalo jina lake, katibu mkuu wa UV-CCM ambaye naye pia tunalo jina lake tayari, maana ili kubalance mwenyekiti wa UV-CCM kutoka Visiwani, mwenyekiti wa CCM ameamua kwua antaka a strong man kutoka bara kuwa katibu mkuu mpya wa UV-CCM.

Leo nina furaha sana mkuu maana ninalala macho kwa ajili ya kupigana na ufisadi ndani ya taifa langu, walipolifungia Mwanahalisi nilikubali kua mafisadi wanaongoza 2-1, lakini leo tuko 2-2. Ushindi hata mdogo kama huu unatosha

FMES - Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
 
Kwahiyo dataz hazina tatizo,tuko pamoja mkulu FMES

Mkulu Kakulwa,

With all due respect, ndugu yangu najua kua na wewe una uchungu wa taifa letu kama mimi, mimi na wewe Tanzania ni taifa letu, taifa la wazazi wetu, taifa la mababu zetu na nyanya zetu,

Sasa as much as I respect kitendo chako cha kusimama juu ili uhesabiwe, kwa sababu ya kulipenda taifa lako, naomba usiununue ugomvi ambao haukuhusu, huu ni wangu mimi FMES, siukimbii na wala siouogopi, ni wangu 100%, hii kwangu ni test of my character maana kwa kawaida sisi wabongo tumezoea tabia za kinafiki nafiki na ujinga ujinga kujichekesha chekesha, I am not that kind of person, mimi ni mwanamapinduzi na siku zote huwa nina-eran my respect, sijawahi kuinunua wala kuilazimisha, huwa nina earn the respect, nimewahi kulumbana seriously na Mafuti, Mwanakijiji, TTJ/Kulikoni, na sasa huyu mkulu.

Among all my most respect ni kwa Mwanakijiji, kwa sababu he was toughest of all na well informed, Mafuti ilikuwa BCS, yeye alikuwa agent aliyekuwa akitumwa na mkono, and then Kulikoni very smart lakini ugly spirit, na sasa ni huyu mpya uninformed, with very ugly spirit elimu ya uchumi tu lakini no idea wala clue kuhusu politics, hasa za bongo.

Ni kwamba huko nyuma mkulu ana a new "strong support" ninazo habari zote, niachie ndugu yangu Kakulwa, ninashukuru sana kwa msimamo wako, na nimekuhesabu na nkiwa na nyeti zaidi nitakua ninakupenyezea pembeni niwekee e-mail kule PM, maana ninazo dataz nyingi sijaziweka hapa kwa sababu ya upepo, lakini niko chini ya miguu yako ndugu yangu Kakulwa niachie hii ni size yangu!

Ahsante kwa kunielewa Mkuu Sana Kakulwa.
 
Demokrasi imepigwa kikumbo kwa mara nyingine tena. Hivi hiki chama hakika kanuni kinaongozwa kwa hisia.

Hakuna kanuni wala demokrasi ndani ya CCM. Kama ingekuwepo basi Mgombea wa Urais toka CCM 2005 asingekuwa Kikwete, Makamba asingekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Msekwa asingekuwa Naibu Mwenyekiti. Chama kinaendeshwa kifisadifisadi tu bila kufuata kanuni zozote.
 
Mkulu Kakulwa,

With all due respect, ndugu yangu najua kua na wewe una uchungu wa taifa letu kama mimi, mimi na wewe Tanzania ni taifa letu, taifa la wazazi wetu, taifa la mababu zetu na nyanya zetu,

Sasa as much as I respect kitendo chako cha kusimama juu ili uhesabiwe, kwa sababu ya kulipenda taifa lako, naomba usiununue ugomvi ambao haukuhusu, huu ni wangu mimi FMES, sikukimbii na wala siouogopi, ni wangu 100%, hii kwangu ni test of my character maana kwa kawaida sisi wabongo tumezoea tabia za kinafiki nafiki na ujinga ujinga kujichekesha chekesha, I am not that kind of person, mimi ni mwanamapinduzi na siku zote huwa nina-eran my respect, sijawahi kuinunua wala kuilazimisha, huwa nina earn the respect, nimewahi kulumbana seriously na Mafuti, Mwanakijiji, TTJ/Kulikoni, na sasa huyu mkulu.

Among all my most respect ni kwa Mwanakijiji, kwa sababu he was toughest of all na well informed, Mafuti ilikuwa BCS, yeye alikuwa agent aliyekuwa akitumwa na mkono, and then Kulikoni very smart lakini ugly spirit, na sasa ni huyu mpya uninformed, with very ugly spirit elimu ya uchumi tu lakini no idea wala clue kuhusu politics, hasa za bongo.

Ni kwamba huko nyuma mkulu ana a new "strong support" ninazo habari zote, niachie ndugu yangu Kakulwa, ninashukuru sana kwa msimamo wako, na nimekuhesabu na nkiwa na nyeti zaidi nitakua ninakupenyezea pembeni niwekee e-mail kule PM, maana ninazo dataz nyingi sijaziweka hapa kwa sababu ya upepo, lakini niko chini ya miguu yako ndugu yangu Kakulwa niachie hii ni size yangu!

Ahsante kwa kunielewa Mkuu Sana Kakulwa.


Mkuu nilidhani hoja zinawekwa hapa ili members wote tuzichangie kumbe kuna nyingine zina ma beef katikati?
Japo nimekuelewa 50/50 mkuu poa nakuachieni ugomvi wenu!Naenda kuweka email PM Mkulu!
 
Hivi inawezekana wana-inji wengi ni washabiki wa CCM???!!!!!

CCM ni chama dola na ndio chama tawala hivyo sio lazima kiwe na washabiki wengi ila issues za CC na NEC ya CCM lazima zivutie ushabiki mwingi hata kutoka kwa wapinzani kwa sababu mustakabali wa siasa za Tanzania zinategemea kwa kiasi kikubwa nani ni nani ndani ya CCM,
 
vipi mambo ya chama kupelekwa IKULU. Inaonekana mpaka leo CCM hawajweza kutafautisha baina ya serikali na chama cha siasa.
 
wananji wengine sio sisiemu lakini wanaogopa kuchangia watashushuliwa.
 
Mkuu nilidhani hoja zinawekwa hapa ili members wote tuzichangie kumbe kuna nyingine zina ma beef katikati?
Japo nimekuelewa 50/50 mkuu poa nakuachieni ugomvi wenu!Naenda kuweka email PM Mkulu!

Sawa sawa, tupo ukurasa mmoja nipenyezeee e-mail nitakupa more dataz ambazo ni za moto sana siwezi kuziweka hapa now,

Respect!
 
Posted by Kakulwa

``Ushaambiwa viongozi wote wa bara wananuka rushwa,wewe unawang'ang'ania.Kama hujui mwenyekiti wa wa ccm ana veto,ukibisha waulize kina Mangula,Malecela,Salim,Sumaye watakwambia yaliyowakuta 2005.´´

Veto ya kusema kwamba hakutakuwa na viongozi wa Bara? Sijui unajua unachokiongea ?

``Hii siyo mara ya kwanza Kikwete kusema ccm kuna rushwa.Rejea chaguzi za ujumbe wa ccm sijui wanaita nec sijui nini wenyewe.Kikwete mpaka alituma usalama wa taifa kusimamia hizi chaguzi na wana ccm wengi tu walidakwa wakiwemo wabunge,sijui kesi zao ziliishia wapi??´´

Nirejee wapi wakati unasema hujui inaitwaje? Wabunge walikamatwa rushwa na Usalama wa Taifa ? Ok. Lini, wapi, hujui, Ok. Ok. Halafu ikaishaje, unasema hujui. Ok. What don't you tell me what you do know.

``Una sababu gani ya kusema kwamba Kikwete hawezi kumuhusisha na mwanae na rushwa ndani ya cc?Mkuu siasa siasa tu,hakuna undugu wala urafiki.Utajuaje,labda Mkulu anajibu mashambulizi kwa dogo kutokana na ile habari ya kubenea?´´

Kwa hiyo mtoto wa Rais alimu undermine babake. Kubenea kakwambia. Halafu sasa hivi baba analipiza kisasi, si ndio ? Kumbe watu wenyewe wanao amini hizi dataz za jamaa ndio kama nyinyi, ok. Ok. I used to wonder what kind people buy this hooey. Got it. Got it.

``Kwahiyo dataz hazina tatizo´´

Hazina tatizo kwako. Ok, ok. Naelewa unavyofikiri sasa. Sawa tu. Hazina tatizo.
 
Veto ya kusema kwamba hakutakuwa na viongozi wa Bara? Sijui unajua unachokiongea ?
Unajua kwamba Mkapa alipindisha taratibu za mchujo wa wagombea urais ccm 2005 ndiyo akapatikana Kikwete?Sembuse Kikwete kusema kiongozi wa uv-ccm mwaka huu atoke tanzania zanzibar?Au wewe unabisha ili mradi tu na wewe uonekane unabisha?


Nirejee wapi wakati unasema hujui inaitwaje? Wabunge walikamatwa rushwa na Usalama wa Taifa ? Ok. Lini, wapi, hujui, Ok. Ok. Halafu ikaishaje, unasema hujui. Ok. What don't you tell me what you know.
Hii siyo siri kila mtu anajua,labda kama umeanza kufuatilia siasa za Tanzania juzi basi nitakubali siyo kosa lako!


Kwa hiyo mtoto wa Rais alimshambulia babake. Kubenea kakwambia. Halafu sasa hivi baba analipiza kisasi, si ndio ? Kumbe watu wenyewe wanao amini hizi dataz za jamaa ndio kama nyinyi, ok. Ok. I used to wonder what kind people buy this hooey. Got it. Got it.
Nilikuuliza kipi kinachokufanya ushindwe kuamini kuwa Kikwete hawezi kumuhusisha mwanae na rushwa mbele ya cc hukujibu,ukaamua kudakia la Kubenea.
Kubenea nilitoa mfano wa jinsi siasa chafu zinavyoweza kuchezwa,watu hata kama ni ndugu huwa wanageukana.
Mkuu wewe endelea kujidanganya unajua tu.
 
Mzee FMES,
Yaani hapa nimesimama mbele ya laptop yangu na nguo zangu za kiraia na nimekukung'utia SALUTE moja saaaaaafi.Ningekua na magwanda ningeingia humu kwenye laptop na kupiga salute mikono miwili.Jamani kuna yule ambae huwa anahoji mi-dataz yako na kukubeza.Yaani mzee unatoa mi dataz iliyo ya moto kabisa.Hapa mkuu mimi sina neno
ILA tu
CCM
Mtamkumbuka Mangula SANA.
 
Back
Top Bottom