Mgombea wa ubunge kwa tiket ya CCM, Charles Kimei ana wakati mgumu kushinda jimbo hilo baada ya CCM kugawanyika, Inock Koola Zadock, mtoto wa Tajiri wa Kimarangu Mzee Koola (Mmiliki wa makampuni ya Zadock A1outdoor Africa), ambaye alishinda kura za maoni amegoma kuungana na kumpigia kampeni Charles Kimei na ameondoka zake kwenda Dar es Salaam bila hata kushiriki mkutano wowote wa Kimei.
Tumeona kwenye majimbo mengine walioshindwa kuonesha umoja ndani ya chama kwa kuungana na mshindi kumsindikiza kuchukua fomu na kumpigia kampeni kwenye mikutano ya Mbunge huyo lakini imekuwa tofauti Vunjo. Wale wana CCM waliokuwa wanamuunga mkono Koola wamegoma kumpigia kampeni Kimei.
Tumeona kwenye majimbo mengine walioshindwa kuonesha umoja ndani ya chama kwa kuungana na mshindi kumsindikiza kuchukua fomu na kumpigia kampeni kwenye mikutano ya Mbunge huyo lakini imekuwa tofauti Vunjo. Wale wana CCM waliokuwa wanamuunga mkono Koola wamegoma kumpigia kampeni Kimei.