CCM yaibwaga ACT Wazalendo Jimbo la Ushetu, Emmanuel Cherehani (CCM) aibuka kidedea

😍
 
Aibu kubwa kwa CCM, ukiona chama kinapata ushindi wa zaidi ya90% Jiongeze!
Fikra za ajabu kabisa 🤣🤣

Ili ushindi uwe wa kweli unatakiwa usizidi asilimia ngapi?!!
 
ndg wana habari ,mgombea wa chadema ameambulia ziro,yaani yeye mwenyewe hajiamini hadi ameshindwa kujipigia kura na mkewe nae ameshindwa kumpigia mmewe kwa sababu ndani ya familia ni bingwa wa kulalamika kwa kweli ni shiiiiiiida.
Naona upo shimoni. Haujui yanayo endeleaDuniani!
 
AcT wametusababishia hasara ya kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…