Kikao cha kamati kuu ya CCM chini ya mwenyekiti wake rais Jakaya Kikwete kimekaa kwa siri kwa siku mbili mjini Dodoma na kumaliza kikao chake jana na kutoa maadhimio yafuatayo kuhusu rasimu ya katiba mpya:
1/Kupinga kwa nguvu zote mfumo wa Serikali TATU uliopendekezwa kwenye rasimu hii(Wamesema msimamo rasmi wa CCM ni serikali MBILI)
2/CCM kuwa moja ya baraza rasmi ya Katiba.(Hivyo wanaCCM watakaa na kujadili na kisha kutoa mapendekezo yao ambayo yatachukuliwa na tume ya katiba kama maoni rasmi ya watanzania)
3/Kutumia wabunge wake wote, wakuu wa mikoa wote, wakuu wa wilaya wote na viongozi wengine wowote wa kiserikali kusimamia kwa nguvu zote maadhimio ya kamati kuu ya CCM juu ya rasimu ya Katiba mpya katika maeneo yao na taasisi zilizo chini yao(Tayari waziri mkuu alikuwa amepanga kuwa na kikao cha wabunge wote wa CCM pamoja na DC, na RC wote mjini Dodoma jana usiku)
*SOURCE:Gazeti la Mwananchi
1/Kupinga kwa nguvu zote mfumo wa Serikali TATU uliopendekezwa kwenye rasimu hii(Wamesema msimamo rasmi wa CCM ni serikali MBILI)
2/CCM kuwa moja ya baraza rasmi ya Katiba.(Hivyo wanaCCM watakaa na kujadili na kisha kutoa mapendekezo yao ambayo yatachukuliwa na tume ya katiba kama maoni rasmi ya watanzania)
3/Kutumia wabunge wake wote, wakuu wa mikoa wote, wakuu wa wilaya wote na viongozi wengine wowote wa kiserikali kusimamia kwa nguvu zote maadhimio ya kamati kuu ya CCM juu ya rasimu ya Katiba mpya katika maeneo yao na taasisi zilizo chini yao(Tayari waziri mkuu alikuwa amepanga kuwa na kikao cha wabunge wote wa CCM pamoja na DC, na RC wote mjini Dodoma jana usiku)
*SOURCE:Gazeti la Mwananchi