CCM yajipanga 'Kuvuruga' Rasimu ya Katiba mpya

kama alivyosema Mzee Mwanakijiji kuwa ni:
- mchakato feki
- tume feki
- rasimu feki (definitely itaishia)
- katiba feki!

Binafsi sijawahi kuona watawala waliotawala miaka zaidi ya 50 iliyopelekea wao kufaidika na mfumo wa ufisadi kukubali kubadilisha katiba ili iwanyanganye hiyo mianya ya kujinufaisha!
Hii serikali haiwezi kuleta Katiba Mpya, tuwe tu wavumilivu au kukubaliana na mawazo ya Mh. Zitto na
Ben Saanane ya kufanya mapinduzi ili kuipata hiyo katiba!
 

.... i am glad to hear this. wapeni taarifa kila jaribio la uchakachuzi watakalolifanya litajibiwa kwa kishindo cha sanduku la kura maana ndo watatupa sura halisi ya kuiongea kwenye m4c wakati wa kueleza jinsi sera za maendeleo zinavyopindishwa kwa maslahi binafsi/watawala/a.k.a wakoloni wuesi...
 

Kiongozi!

Kama nimekuelewa basi inawezekana hujui unacho kitetea zaidi ya kutimiza wajibu wako wa kuwa MTWANA wa LUMUMBA. Ungekuwa unajuwa na kuelewa KATIBA ya JMT imewapa majukumu gani RCs na DCs usinge toka na kauli za wao kuwajibika kwa CCM. Ni kweli kwamba wana wajibika badala ya mkuu wa kaya, lakini sio kwa CCM.

Wapo Dodoma kupewa msimamo na maagizo kutoka kwa M/ Kiti wa CCM na sio kwa Mkuu wa Kaya.

Anyway, hatushangai kwani kila mTanganyika anajua kwamba sera ya kuandika KATIBA mpya haikuwa sera ya CCM ilikuwa ni sera ya CHADEMA. Na hata Waziri wa Sheria na Mwana Sheria Mkuu wa serikali alijiapiza kwamba hakuna haja wala ulazima wa kuandika KATIBA mpya. Hivyo yote yanayoendelea kuhusu KATIBA mpya, ni matokeo ya kuiga sera ambazo hazikuwa za CCM na kujikuta CCM inaji dhalilisha yenyewe mbele ya macho ya waTanganyika.

Kwa macho ya waTanganyika tunashuhudia kushindwa kwa kila ahadi iliyo ahidiwa na CCM kwa UMMA wa waTanganyika. Na ndio maana hata vile vipindi vya Lukuvi kutangaza mafanikio ya serikali ya awamu ya NNE vimekufa, maana hakuna kitu ON THE GROUND.

Kauuli Mbiu: KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIIIII.....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kiitikio: KIGUMUUUUU..........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeeeeeeee..........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Nape haaminiki, alisema watajivua gamba ndani ya siku 90, leo ni miaka gamba moja tu la igunga ndilo lililong'oka! Mengine yamemshinda!
 

Popoooooooozzzzzzzzzz BAwAAAAaaaaaaAaAAAAAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hayo mawazo ni ya watanzania na yaheshimike. Basi na kila chama kije na mawazo yake na yote yawekwe. Katiba ni mali ya wananchi wanye vyama na wasio na vyama.
 
Nape haaminiki, alisema watajivua gamba ndani ya siku 90, leo ni miaka gamba moja tu la igunga ndilo lililong'oka! Mengine yamemshinda!

​Nalo hilo moja siyo Nape alilibandua bali ni baada ya lenyewe kung'amua kuwa ndani ya CCM kuna siasa za majitaka!!
 
Hakika wtz tuna kazi ngumu mpaka tupate katiba tunayoitaka! ila watawala waangalie wasije wakatufikisha kwenye machafuko!
 
Dawa ni kuingia vitani tu...tutwangane ndo tutakuja kupata katiba ya maana
 
Hakika wtz tuna kazi ngumu mpaka tupate katiba tunayoitaka! ila watawala waangalie wasije wakatufikisha kwenye machafuko!

Lazima machafuko yatokee ndo tutakuwa na katiba ya maana hivi hivi ni kuchezeana akili tu
 
Dawa iliyo kuu na tiba mbadala ya viini macho vya ccm ni kupata jeuri mmoja jwtz atufanyie kama yale ya Misri -1 kutufufulia Tanganyika yetu' 2 Kuwapa Zanzibar yao. 3 Kutuongoza kuandika katiba mpya itakayokuwa na manufaa kwa Watanganyika wote. Sababu ya kumtaka jeshi la wanachi Tanganyika huyo ni ugumu wa kupata katiba iliyo sahihi bila ya kupoteza rasilimali fedha nyingi zinazotumiwa na tume hatimaye kupata katiba ya pwagu na pwaguzi, kwa kuwa kama ccm wanaweza kuchukua jimbo kwa upande wa kanga na kofia watashindwa vp kuandika katiba kwa sahani ya pilau.....? Asilimia kubwa ya wajumbe wa mabaraza ya katiba ni wao kama si wote ondoa hao ma dc na rc......Sanduku la kura ni kujiangamiza...... Shime mwana jeshi la Tanganyika mmoja tuokoe.....!
 
Nawaunga mkono CCM, nataka serikali mbili, Zanzibar na Tanganyika.
 

Umesomeka mkulu ila tumpate hamnazo kweli sio hawa akina Mwamunyange na Shimbo ambao kila leo wanafanya kazi ya kupiga dili na jk utadhani wao na familia zao hawataishi tena Tanzania.hii.... bado tuna kitendawili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…