Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Uyui nitarudi soon kwanza nilivyotoka huko last month sikujua kuna uchaguzi. Mtoa mada nakuja huko tutakutanaa
 
Ukiona wanyamwezi wamezinduka basi ujue kumekucha , Hakika njaa huadabisha sana !
 
kWENYE MATOKEO YA KATA ZILE 22 ILIKUWA UJUMBE KWA NANI?
Kwa upnzani, lkn wakati ule wengi walikua na imani na Magu. Mambo km ya kuchuja kuchukuliwa hatua kwa maafisa wa serekali wenye kubainika wamefanya jinai, na mengine mengi
 
BUKALA na NZUBUKA hawataki masihala kabisaa
 
Chaguzi ndogo hizo ccm hawawezi kuiba kura kwa sababu kunakuwa na uwazi hakuns mabox ya kubebea kura. Tena chaguzi zote zingekuwa zinafanyika hivyo matokeo kama hayo ya Tabora ndio wangekuwa wanayapata ccm kwenye chaguzi kuu.
Sawa tuendelee kuwa wavumilivu kwa yote
 

Kazaneni,wanatakiwa wasiambulie hata KURA moja hawa Chama Cha Mauaji,tena msisahahu na kwa yule bibie Mrembo wa Lipumba aka Magdalena Sakaya,anzeni kumpembua mapema akirudi afikie CCM kabisa
 
HATA NCHI ZILIZOENDELEA WANAFANYA MABADIRIKO, WHY WE TANZANIAN!?
LET US WAKE UP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…