Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Hongera sana chadema.
Kwa ushindi hakuna haja ya ukawa chadema inatosha kusimama peke yake kwanza vyama vingine vya ukawa vinaangamia kwa migogoro kama CUF na NCCR mageuzi.
Chadema hoyee,CUF hoiii,NCCR hoiii.
 
Tabora siku wakiikataa ccm basi inatoka madarakani hizi dalili sio nzuri kwao
 
WANYAMWEZI WENZANGU NAO WAMEPELEKA UJUMBE LUMUMBA. TABORA YA LEO SIO YA MWAKA 77.
Matokeo Uchaguzi Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mkoani Tabora 23/4/2017.

CCM Ya pigwa na chadema

1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156✔
2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 15,CDM 32✔
3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232
4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49✔
5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 67, CDM 123✔
6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288✔
7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 8 CDM 22✔
8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26✔
9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117✔
10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 21 CDM 167✔
11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21
12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.
13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 230✔
14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72✔
15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.✔
16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502✔
huu upupu unaoendelea utawaliza ccm 2020
wananchi wanaona kinachoendelea
tunaona ugumu wa pesa ilhali kina bashite wao wanauzia magazeti kazi hawafanyi,
tunaona tetenas na dawa nyingine muhimu hakuna mahospitalini
tunaasikia pia matusi ya viongozi wetu wakishika vipaza sauti
tunaona pia wanavyotumia hela zetu kugawa kama njugu bila kufwata sheria
tunaona wimbi la watanzania kukosa ajira
tunaona pia vijana wetu wanaondolewa vyuoni ati ni vilaza
tunaona pia hakuna boom vyuoni
tunaona pia kuwa serikali haina ajira na huku mitaani pia tunaona jinsi mabiashara yanavyofungwa kwa kukosekana mizunguko ya uchumi ...........

pia tunana natunaona watu wanavyotekwa humu na tunaona kina cuf na kina nape na kina nanihii walivyoshikiwa mabunduki

tunwaona majibu mtayapata mubashara kabisaaaaaaaaaaaa
huu ni mwanzo endeleeni kusema wanaolalamika ni wapiga dili wakati wapiga dili ni ccm tuliowapa dhamana ya kutuongozea nchi lakini wao wakaigeuza shamba la bibi yao kama si mzaa mama ni baba
 
Lumumba wanaona mwaka wa shetan juzi mpango wao na profesa njaa ulibuma leo matokeo wameburuzwa kumbuka wengine tulipunguzwa unec

Cc Msalani
wamikua kwa wana msimbazi hahaaaa thimba
 
Salamu zimuendee baba yake bashite mzee wa one man show! aka double standard [HASHTAG]#tukutane[/HASHTAG] 2020
 
Back
Top Bottom