Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

bado Bukoba waliosemwa kuwa katerelo wao, mtongo wao na mafuriko wao hata tetemeko wao.
 
kWENYE MATOKEO YA KATA ZILE 22 ILIKUWA UJUMBE KWA NANI?
Hahhhahahha mnajua hivyo vitongoji vilikuwa chini ya chama gani kwa miaka 50???? Ukijua ndo utatofautisha na kata amabazo licha ya kwamba kuna madudu mengi kwenye uwazi wa uchaguzi ila mlikuwa mnazitetea tu but uyui yote ilkuwa ccm 100% so kupata vitongoji from 0 to something ni achievement kwa upinzani na pigo kubwa kwa ccm maana mmezuia mikutano ila myie mnafanya bado kura mmeangushwa
 
Hahahah safi sana, hiyo ndo inaitwa katafunua... Ujumbe kwa dingi wa bashite.

In komba voice "tumewapiga kwenye mitaa cdm mbele kwa mbelee..., 2020 cha mtemakuni mtakiona cdm mbele kwa mbele..."
......................
Chadema kuna mipango thabiti kweli ya kuiondoa CCM madarakani 2020? Sio kwa siasa hizi za propaganda na matukio
 
Shida huleta akili kila mtu ataisoma namba kwa muda wake
 
WANYAMWEZI WENZANGU NAO WAMEPELEKA UJUMBE LUMUMBA. TABORA YA LEO SIO YA MWAKA 77.
Matokeo Uchaguzi Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mkoani Tabora 23/4/2017.

CCM Ya pigwa na chadema

1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156[emoji818]
2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 15,CDM 32[emoji818]
3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232
4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49[emoji818]
5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 67, CDM 123[emoji818]
6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288[emoji818]
7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 8 CDM 22[emoji818]
8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26[emoji818]
9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117[emoji818]
10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 21 CDM 167[emoji818]
11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21
12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.
13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 230[emoji818]
14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72[emoji818]
15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.[emoji818]
16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502[emoji818]
Vitongoji vilivyofanya uchaguzi ni 58. Unaweza weka matokeo yote?
 
Vitongoji vilivyofanya uchaguzi ni 58. Unaweza weka matokeo yote?
Hata kma vingekuwa 1000 ila lazma ujue uchaguzi uliopita we had 0 kabisa so kupata hizo 13 ni pigo kwa ccm na achievement kwa upinzani the rest mlizoshinda mmetetea so u have nothin to gain but we had nothin to lose
 
Demkrasia ni Tamu pale mambo yanakuwa chanya upande wako.
Hata tukishinda haibadilishi ukweli kuwa Tume sio huru majimbo au kata ukiona mpinzani anashinda ujue nguvu ya umma imetumika ila eti ukipiga kura afu ukaenda kulala nyumbani matokeo yanageuzwa to ccm favor ukiwa unaona hivi hivi haya yalitukuta hata huko kyerwa na kwela kwa naftali
 
Kwa haya matokeo mzee kidevu anaweza kuamrisha miradi ya kimaendeleo na fedha visitishwe mara moja kwenye hivyo vijiji.
Safi sana chadema na hongereni sana tutamtoa tu mkoloni mweusi atake au asitake.
 
Wamebaki wagogo jamani sijui tuwafanyeje Hawa viumbe. Kila mwaka wanatuangusha
 
Hivi Lubavu's Law au Jecha's Law kwenye chaguzi za vitongiji huwa hazitumiki.?
 
Naona wanyamwezi wameamka na kugundua lipumba kijana wao kawasaliti .viva Chadema vivaaaaaa .
 
Back
Top Bottom