Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Hao ni wanyamwezi wajinga! Hawajui kabisa kuwa hicho si Chama bali ni kampunitena kampuni ya watu wa kanda fulani!
Wanyamwezi hawadanganyiki tena.mwisho umefika. Watu wana njaa ,bei juu kila bidhaa mmekaa miaka zaidi ya 50 madarakani mnafanya nini umasikini umejazana kijijini. Hizi ni salamu tunatuma watanzania tumechoka na haya maisha.sanduku la kura litaamua.
 
Chadema kuna mipango thabiti kweli ya kuiondoa CCM madarakani 2020? Sio kwa siasa hizi za propaganda na matukio
Tutakaoindoa CCM madarani ni wananchi tuliochoshwa na umasikini katika nchi hii na siyo Chadema. Nadhani kwa mfano huu wa tabora utakuwa umenielewa.
 
Teh,kwa hyo leo tume imetenda haki? Tatzo chadema vigeugeu saana.kwa jinsi mnavo shangilia,mjiandae pia kushangilia matokeo ya urais 2020,ambapo ccm itaibuka kidedea
 
Mkuu je hawa wengne nao vp nao wana mgogoro Kama cuf?
Maana mi najua kuna vyama vinne vinashirikiana
Nccr tuko nao, tlp hawaeleweki maana tayari Mwenyekiti wao mrema kateuliwa Serikalini na kasema hakuna mtu anayefaa zaidi ya Magufuli , ACT nao hawaeleweki tumeona juzi Kada wao kitila nae kaingizwa kwenye system.
Hivi vyama ni rahisi sana kurubuniwa na serikali kutokana na njaa.lakini chadema kipo imara sana. Wengine hawaaminiki
 
Teh,kwa hyo leo tume imetenda haki? Tatzo chadema vigeugeu saana.kwa jinsi mnavo shangilia,mjiandae pia kushangilia matokeo ya urais 2020,ambapo ccm itaibuka kidedea
CCM haijawahi kushinda kwa haki tangu mwaka 2010.
 
Nccr tuko nao, tlp hawaeleweki maana tayari Mwenyekiti wao mrema kateuliwa Serikalini na kasema hakuna mtu anayefaa zaidi ya Magufuli , ACT nao hawaeleweki tumeona juzi Kada wao kitila nae kaingizwa kwenye system.
Hivi vyama ni rahisi sana kurubuniwa na serikali kutokana na njaa.lakini chadema kipo imara sana. Wengine hawaaminiki
Mkuu mbona sijaona kiti hata kimoja kwa nccr ambao unasema mko pamoja
 
cocochanel nakusalimia habari za muda huu??

Ha ha haaaaa

Unanisalimia kwenye uzi huu eeeh Mr. Chadema, nimefurahia kuona hayo matokeo yapo hivyo kwa sababu inawapa CCM muda mwingi wa kujipanga na kujua cha kufanya. Kuna mengi na natumaini wana watu wenye vichwa kuwapa maujuzi...kila kitu kinawezekana..si umeona wa ufaransa alianzaje kufika kupambana kea mara ya kwanza...

Mengi inabidi yafanyike awamu hii, wapo chini ya uongozi wa Raisi mpya sasa hivi na ni pia Mwenyekiti mpya wa CCM so kwa sasa ni vizuri sana ili waendelee kufunga kamba na sio kujisahau kuwa inaweza kuwa hivi na vile.

Ni muda sasa, ila washauri wao walio raia kuwaandikia humu cha kufanya hamtakiona au kukisoma JF...ha ha ha haaaaaa

Umekunywa kinywaji gani kusherekea!? Ha ha haaaa
 
Hahhahaha ccm mbele kwa mbele inamaana hata goli la mkono lilikua gumu......

Kwa hesabu za haraka hapo inamaana DED na DAS ni majipu.
 
WANYAMWEZI WENZANGU NAO WAMEPELEKA UJUMBE LUMUMBA. TABORA YA LEO SIO YA MWAKA 77.
Matokeo Uchaguzi Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mkoani Tabora 23/4/2017.

CCM Ya pigwa na chadema

1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156✔
2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 15,CDM 32✔
3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232
4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49✔
5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 67, CDM 123✔
6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288✔
7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 8 CDM 22✔
8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26✔
9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117✔
10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 21 CDM 167✔
11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21
12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.
13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 230✔
14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72✔
15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.✔
16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502✔
Wapi Mh Lipumba na CUF yako?,Lipumba ona aibu tuachie chama chetu.
 
Back
Top Bottom