Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502✔
Nzubuka hawana shukrani,hivi hawajui kuwa bombadier zinatua Tabora na treni ya umeme itapita hapo??
mambo haya wangefanya watu wa Njombe labda...
We, tuache kabisa watu wa Njombe. Ukijipendekeza na ndege zako wakati tunaiaminia miguu yetu unadhani ndo utapata kura. Weka kula ndo upate kura...teh teh
 
Nimepitia post zote nione kiongozi yeyote wa CDM kama wamebariki taarifa hii ili nishushe matokeo kamili. Kifupi naona viongozi wameustukia mtego wa huyu Klorokwini.
 
Nawaomba Chadema wawe watulivu maana ukimya pia una nguvu ya ajabu.Semeni wasipowasikia,sisi wananchi tunasikia.Msilazimishe wakawaita waleta vurugu,sisi wananchi tunajua ni wakati gani wa kufanya nini!Aluta continua,hongera wana Tabora
 
Ha ha haaaaa

Unanisalimia kwenye uzi huu eeeh Mr. Chadema, nimefurahia kuona hayo matokeo yapo hivyo kwa sababu inawapa CCM muda mwingi wa kujipanga na kujua cha kufanya. Kuna mengi na natumaini wana watu wenye vichwa kuwapa maujuzi...kila kitu kinawezekana..si umeona wa ufaransa alianzaje kufika kupambana kea mara ya kwanza...

Mengi inabidi yafanyike awamu hii, wapo chini ya uongozi wa Raisi mpya sasa hivi na ni pia Mwenyekiti mpya wa CCM so kwa sasa ni vizuri sana ili waendelee kufunga kamba na sio kujisahau kuwa inaweza kuwa hivi na vile.

Ni muda sasa, ila washauri wao walio raia kuwaandikia humu cha kufanya hamtakiona au kukisoma JF...ha ha ha haaaaaa

Umekunywa kinywaji gani kusherekea!? Ha ha haaaa
Its beer O' clock somewhere. Chadema raha sanaa.
120722NairobiTuskerBeer.jpg
 
Nimepitia post zote nione kiongozi yeyote wa CDM kama wamebariki taarifa hii ili nishushe matokeo kamili. Kifupi naona viongozi wameustukia mtego wa huyu Klorokwini.
Fafanua,kwa maana jamaa kaleta uongo mtupu?!
 
WANYAMWEZI WENZANGU NAO WAMEPELEKA UJUMBE LUMUMBA. TABORA YA LEO SIO YA MWAKA 77.
Matokeo Uchaguzi Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mkoani Tabora 23/4/2017.

CCM Ya pigwa na chadema

1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156✔
2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 15,CDM 32✔
3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232
4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49✔
5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 67, CDM 123✔
6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288✔
7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 8 CDM 22✔
8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26✔
9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117✔
10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 21 CDM 167✔
11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21
12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.
13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 230✔
14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72✔
15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.✔
16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502✔

======

[HASHTAG]#Updates[/HASHTAG] ya [HASHTAG]#Matokeo[/HASHTAG] ya #Uchaguzi_Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mpaka sasa ni kama ifuatavyo...

1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156✔

2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 51,CDM 32

3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232

4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49✔

5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 167, CDM 123

6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288✔

7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 80, CDM 22

8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26✔

9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117✔

10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 217, CDM 167

11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21

12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.

13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 23.

14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72✔

15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.✔

16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 155.

17.KITONGOJI. HA MITUNDU - KIZENGI CCM 25, CDM 26✔

18.KITONGIJI CHA SAIDING CCM 73, CDM 47

19.KITONGOJI CHA MWASUSU CCM 81, CDM 57

20.KIJIJI CHA SONGAMBELE CCM 307, CDM 240

21. KITONGOJI CHA MWAKALOMO CCM 21, CDM 30✔

22.KITONGOJI CHA 04-MKALYA CCM 90, CDM 61

Tutaendelea kuwaletea matokeo ya kura......

Tunaendelea kuamini [HASHTAG]#watanzania[/HASHTAG] wa leo na #wana_Uyui wa leo si wa Jana hivyo wanaendelea kuungana na kushikamana.

Aluta continua.......

General kaduma.
Katibu chadema kanda ya Magharibi
Mbona taarifa ulizo update kama zmepingana na zile za mwanzo mfano mwanzoni kijiji namaba 16 chadema walishinda lakini ulivo update imeonesha kashindwa HUELEWEKI NA TAARIFA ZAKO MKU.
 
Tunatoa onyo:-
Wale wa idara ya kutumika tafadhalini msikubali kutumwa mkakubali kufanya hujuma.
Petroli inaweza kuhusika "dhis taim araundi"

Hatutavunja miguu.
Wewe nadhani utatangulia kuonana na akina akina marehemu kabla ya yote
 
hizi data ni za uongo,ccm imeshinda vijiji 14 na chadema 1.
 
Mbona nilisikia kwamba chadema inakwenda kujifia,sasa imekuwaje tena hapo unyamwezini?
 
Upotoshaji hauwasaidii chochote
Wilaya ya Uyui ilikuwa na Vijiji 15 vyenye Uchaguzi na Vitongoji 58
CCM imeshinda Vijiji 14 kati ya 15
CCM imeshinda Vitongoji 51
Chadema 7
Binafsi nilisimamia Kata ya Ibelamilundi iliyokuwa na vitongoji 6ambavyo vyote vile kwenda CCM
 
Sawa naona ushindi wa huko, kijiji au wapi tena panaitwaje? umekupa furaha. Ila enjoy kadri uwezavyo, wanaweza kuja kuwashinda mlikoshinda kwa sasa sehemu nyingi au niseme kote.
Uyui wilaya hii tabora huko ndio ngome za CCM. Si unajua maeneo mengi ya vijijini kwenye umasikini sana ndio CCM huwa inashinda uchaguzi? Inavyoonekana wananchi wamechoka Na hiki chama miaka zaidi ya 50 bado watu wana umasikini uliokithiri.
 
Back
Top Bottom