Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

Taarifa mnazo kwel au mnajipa moyo,,,ukawa mmepigwa mpka mkaomba pooooi,,mnajidanganya halaf mnajipa moyo duuuh ndio maana hamshindi kila mahali sababu mmezoea kujidanganya nafsin mwenu
 
Kazaneni,wanatakiwa wasiambulie hata KURA moja hawa Chama Cha Mauaji,tena msisahahu na kwa yule bibie Mrembo wa Lipumba aka Magdalena Sakaya,anzeni kumpembua mapema akirudi afikie CCM kabisa
Upinzani bado sana TZ yaani uchaguzi wa kitongozi imekuwa habari ya nchi nzima!!!
 
Kuna upotoshaji kuhusu matokeo ya uchaguz mdogo uyui - Tabora unaoenezwa na vijana wa chadema,

Ukweli ni huu

Wilaya ya Uyui ilikuwa na Vijiji 15 vyenye Uchaguzi na Vitongoji 58,

CCM imeshinda Vijiji 14 kati ya 15

CCM imeshinda Vitongoji 51 Chadema 7

HUU NDIO UKWELI HALISI

Moderator msiunganishe huu uzi maana hamkawii..
 
Hvyo viuchaguzi vya ajabu vya nn, sisi tunajenga nchi huku na 2020 vyote vitarudi
 
Kuna upotoshaji kuhusu matokeo ya uchaguz mdogo uyui - Tabora unaoenezwa na vijana wa chadema,

Ukweli ni huu

Wilaya ya Uyui ilikuwa na Vijiji 15 vyenye Uchaguzi na Vitongoji 58,

CCM imeshinda Vijiji 14 kati ya 15

CCM imeshinda Vitongoji 51 Chadema 7

HUU NDIO UKWELI HALISI

Moderator msiunganishe huu uzi maana hamkawii..
Wewe kweli ndiye lumumba wahed yaani watu wapo field alafu unakuja kuleta uongo wako wa kijinga?
 
Chadema ni kijichama kichanga sana kuweza kupambana na chama kama ccm.ccm ni level ya akina Republican kule marekani au conservative kule uingereza.
 
Sasa wataiondoaje wakati hakuna tume huru ya uchaguzi? Kabla hujanitolea povu, kwanini CCM hataki tume huru ya uchaguzi?
 
Kuna upotoshaji kuhusu matokeo ya uchaguz mdogo uyui - Tabora unaoenezwa na vijana wa chadema,

Ukweli ni huu

Wilaya ya Uyui ilikuwa na Vijiji 15 vyenye Uchaguzi na Vitongoji 58,

CCM imeshinda Vijiji 14 kati ya 15

CCM imeshinda Vitongoji 51 Chadema 7

HUU NDIO UKWELI HALISI

Moderator msiunganishe huu uzi maana hamkawii..
WAKATI VIJANA WENZETU UKO KENYA WASOMI WANAJIVUNIA TECHNOLOGIA YA KUGUNDUA NA KUTENGENEZA MPEZA SYSTEM

HUKU TANZANIA KUNA KIJANA MSOMI ANAJIVUNIA CCM KUISHINDA CHADEMA . AMA KWELI TUNA SAFALI NDEFU SANA
 
Wewe kweli ndiye lumumba wahed yaani watu wapo field alafu unakuja kuleta uongo wako wa kijinga?
Field uvunguni ufipa au! Msiwage na kiherehere cha maalim seif ya kutangaza mapema kumbe alishachinjiwa baharini na wananchi!
 
Wewe kweli ndiye lumumba wahed yaani watu wapo field alafu unakuja kuleta uongo wako wa kijinga?
Mbona hukutumia hayo matusi kwenye ule uzi mwengine uliowekwa
Na mwenzio. Ila huyu aliyeweka habari sahihi amekuwa mbaya.
 
Chadema ni kijichama kichanga sana kuweza kupambana na chama kama ccm.ccm ni level ya akina Republican kule marekani au conservative kule uingereza.
Mbona mnakazana kuiba kura na teja sonzije ameanza maandalizi mapena kwa ajiri ya kuiba tena na bado tume huru hamtaki yaani mnachagua refa wenyewe.
 
Mliahidi kutoa UPDATES (habari mpya kadri zinavyopatikana) lakini bado tunaona kimya.....

Hii tabia ya kupenda habari za upande mmoja badala ya kuwa GREAT THINKERS sidhani kama inatufaa sana,

Tupate habari sahihi kisha tuchangie katika usahihi wake na sio kuletewa habari potofu nasi tunazichangia kumbe nasi tunaeneza upotofu.

Tusiwe sehemu mojawapo ya PROPAGANDA MACHINE ya upande fulani
 
Mliahidi kutoa UPDATES (habari mpya kadri zinavyopatikana) lakini bado tunaona kimya.....

Hii tabia ya kupenda habari za upande mmoja badala ya kuwa GREAT THINKERS sidhani kama inatufaa sana,
Ukiona hii habari haipo ukurasa wa mbele gazeti me

Tupate habari sahihi kisha tuchangie katika usahihi wake na sio kuletewa habari potofu nasi tunazichangia kumbe nasi tunaeneza upotofu.

Tusiwe sehemu mojawapo ya PROPAGANDA MACHINE ya upande fulani
Ukiona hii habari haipo ukurasa wa mbele gazeti la mwananchi ujue CDM wameumia na ukiona uchangiaji umezimika ghafla hapa JF ujue CDM chali cha mende
 
Back
Top Bottom