Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hawa wametisha balaa.!16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502[emoji818]
Nzubuka hawana shukrani,hivi hawajui kuwa bombadier zinatua Tabora na treni ya umeme itapita hapo??
mambo haya wangefanya watu wa Njombe labda...