CCM Yamchagua Sitta kuwa mgombea pekee

binafsi huwa namkubali sana sitta,lakini ukiona ccm wanamshabikia mtu basi ujue kuna majanga hapo.kama wamekubali kumpitisha ki urahisi rahisi kiasi hicho then tutarajia majanga

Nakumbuka hali aliyoionyesha alipokaimu, it was quite unexpected of him! (ndio maana nasema "unexpected"
 
Huyu Sitta ni chui anayejifanya kondoo!

Sitta ni kondoo.misimamo yake uwa inampa hata wakati mgumu hata ndani ya ccm.Tuache mambo ya kuchangia changia tu mradi nasi tuonekane tumechangia mada.Sitta ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo.kwan hata kina tindu lissu ,john mnyika hawatawekea hila ktk uchangiaji wa bunge hili maalumu
 
Wakati wasemina ya wajumbe kuhusu rasimu ya kanuni, wajumbe wawili kutoka CCM, EsterBulaya na Profesa Juma Kapuya waliweka wazi kuwa wanaunga mkono kura za siri,huku Anna Kilango akisema suala la ama kupigwa kura ya wazi au ya siriliamuliwe kwa kura ya siri kwa kuwa limezua mvutano。Je ni upi msimamo wa Samwale Sitta ambayehivi sasa kapitishwa na chama chake cha CCM kuwania nafasi ya Uenyekiti wa wa bunge la mabadiliko ya Katiba?




 
Ujenzi wa ofisi ya mwenyekiti wa bunge la katiba utaanza punde Urambo. ..

Chuki binafsi......tafuta facts kwanza! wewe unazungumzia ofisi ambayo yeyote anaweza kuitumia unaacha kuzungumzia nchi inavyoliwa na waliokutuma....utakufa maskini.
 
ni kweli kabisa wazee wa ''chopa 3 kata 3'' ccm kishney!
 
Habari wadau,

Naomba tu kuwapa tahadhari wale wote wanaoshabikia kupitishwa kwa jina la Samweli Sitta kugombea uenyekiti waelewe tu kuwa huyu ni "CCM damu damu" na wasisahau kuwa "zimwi likujualo halikuli ukawisha".

Ni mara ngapi Sitta amekejeli upinzani ndani ya bunge hata wapinzani wanapokuwa na hoja za msingi?

Je,yeye Sitta,ni msafi sana ukilinganisha na wana -CCM wenzake?

Je,Sitta yuko tayari kuona CCM inapoteza dola?

Je,washirika wake wa kisiasa wote ni watu safi?

Mtu ambae angefaa kushika wadhifa huo,kwa maoni yangu, ni mtu mwenye sifa zinazotakiwa lakini ambae hakuwahi kuwa kwenye system.
 
Mimi niliacha kumuamini pale alipopindisha ile issue ya Richmond mwishoni kabisa. Huyu ndiyo aliyezima lile sakata la Richmond licha ya kuliendesha bunge la tisa kwa umahiri mkubwa.
 
Wasituinjoi kwani wao walipatikana kwa njia ya wazi?hapo hakuna mjadala bwana waache uzembe wa fikira bwana nch inakila kitu watu nimafukara!!
 
Hili siyo bunge la katiba mpya bali ni self enrichment scheme!! Kwa kusema ukweli ni mazingaombwe yanaendelea ............. nakubaliana na MKJJ kuwa kwa vile tumekubali kuingia kwenye huu mchakato basi tukubali na matokeo yake!!
 
Mimi niliacha kumuamini pale alipopindisha ile issue ya Richmond mwishoni kabisa. Huyu ndiyo aliyezima lile sakata la Richmond licha ya kuliendesha bunge la tisa kwa umahiri mkubwa.

Mkuu huyu bwana ana nafuu fulani ila kwenye mambo mazito hawezi kukisaliti chama chake na washirika wake.

Kumbuka,katiba bora haiwezi kuwaacha vigogo wengi salama.
 
simamisheni mtu wenu apambane na Sita kama mnamuona Sitta ni ccm
 
Mkuu huyu bwana ana nafuu fulani ila kwenye mambo mazito hawezi kukisaliti chama chake na washirika wake.

Kumbuka,katiba bora haiwezi kuwaacha vigogo wengi salama.

hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo hivyo
 
Hili siyo bunge la katiba mpya bali ni self enrichment scheme!! Kwa kusema ukweli ni mazingaombwe yanaendelea ............. nakubaliana na MKJJ kuwa kwa vile tumekubali kuingia kwenye huu mchakato basi tukubali na matokeo yake!!

yaani wewe taahira sijui unatumia kiungo kipi kufikiri
 

Mleta mada nakubaliana na wewe kabisa kwamba kama kweli tumedhamiria kupata katiba mpya hawa wanasiasa wangetoa maoni yao tu na wananchi au rais ateue wanazuoni watuandalia hiyo katiba sisi tuipigie kura. Huko mjengoni ni usanii mtupu na sina imani ya kupata kile tulichokuwa tunategemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…