Uchaguzi 2020 CCM yamjibu Lissu kwenye elimu, Magufuli kuajiri walimu 13,000

Uchaguzi 2020 CCM yamjibu Lissu kwenye elimu, Magufuli kuajiri walimu 13,000

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi, sisi kama wana CCM tunaoshauri hapa mambo mengi sasa JPM anayajibu.

Leo Rais ametangaza ataajiri walimu wa msingi na sekondari zaidi ya 13,000

Hakika sasa hoja zinajibiwa kwa hoja. Mimi kama mwana CCM nitasimama na Rais na nitashauri zaidi.

Kilichobaki hapa Rais atangaze kupunguza riba ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu

Hii hoja ya elimu ilishapanguliwa sasa, tumebaki na hoja za TRA kufilisi watu, hoja ya bima ya afya kwa wote, hoja ya uhuru wa habari.

Soma huu uzi tulishauri: Je, CCM wataishinda CHADEMA kwa mbinu kuelekea Oktoba 2020?
 
Kuajir walimu sio hoja, hoja ya Lissu ni ubora wa elimu. Hata hao walimu hawana maarifa, na hawawez kusajiriwa popote dunian, ukimlinganisha mwalimu wa Kenya na Tanzania kwa ubunifu, wa tz ni ziro kabisa
 
Ni mpuuzi TU ndio anaweza kuipa ccm ajira!! Amekaa miaka mingapi ikulu? Mbona hajawaajiri hao walimu? Hata 2015 aliahidi laptop kila mwalimu Nchi nzima, 50m kila Kijiji mbona hayasemi Kama ameyatekeleza!!. Hana hoja ameshindwa awamu muhimu ataweza kufanya haya awamu ya mwisho ambayo harudi kuomba kura??
 
VP kuhusu zile 570000 baada ya uhakiki uco na kikomo
Wanabodi,Sisi kama wana ccm tunaoshauri hapa mambo mengi sasa JPM anayajibu

Leo Rais ametangaza ataajiri walimu wa msingi na sekondari zaidi ya 13,000

Hakika sasa hoja zinajibiwa kwa hoja
Mimi kama mwana ccm nitasimama na Rais na nitashauri zaidi

Kilichobaki hapa Rais atangaze kupunguza riba ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu

Hii hoja ya elimu ilishapanguliwa sasa ,Tumebaki na hoja za TRA kufilisi watu,Hoja ya bima ya afya kwa wote,Hoja ya uhuru wa habari



Soma huu uzi tulishauri Je, CCM wataishinda CHADEMA kwa mbinu kuelekea Oktoba 2020?
 
Back
Top Bottom