Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kesha shinda kwa kishindo baada ya wagombea wa upinzani kukosea kuandika majina yao.Mbunge wa Viti Maalum mh Bahati ameteuliwa na CCM kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya
Uchaguzi hii unafanyika baada ya Mbunge wa jimbo hilo kufariki katika Ajali ya iliyohusisha Pikipiki na Trekta
Jumaa kareem 😀
cc: Mshana jr Ufipa st