CCM yamulika wanaojipanga kwa Urais mwaka 2025

Mbona kipindi cha JPM walioanza kuonesha dalili za kutaka kuwania nafasi hiyo walikuwa wanawang'ong'a ikiwa pamoja na huyo anayetoa tahadhari kwa sasa?

Zamu hii hakuna atakayekubali, utamaduni sio sheria ni mazoea yasiyokuwa na tija na hasa panapokuwepo hakuna mtu makini wa usimamizi wa haki.Aliyepo anatosha kula embe alilookota lakini kuongezewa na akilazimisha yeye ndio atalazimishwa kuondoka kwa aibu na wananchi ambao hawathaminiwi
 
Mimi nimekuelewa, kama HAKUBALIKI Kwa wananchi, BUSARA itumike kumwambia YATOSHA!!!!
 
Mimi binafsi namuunga mkono Mama Samia kwa Urais 2025 amefanya mandeleo mengi sana kwa kipindi kifupi
 
Mimi binafsi namuunga mkono Mama Samia kwa Urais 2025 amefanya mandeleo mengi sana kwa kipindi kifupi
Maendeleo gani au wewe ndiye ulirudi na kuanza kuporomosha majumba ya kifahari kwa kasi hapo Mikocheni TPDC ndio unaona uamefanya maendeleo?
 
Waanze kummulika rais wa mawe. Ndio maana ana mkwamisha Mama.
 
Yes. Tuendelee kusukuma ajenda ya katiba mpya ili walau 2025 iwe imepatikana na na ikibidi itumike kuandaa tume ya uchaguzi
Narudia kusema tena hapa JF, hayo ni mawazo na mtizamo wa Mwenyezi shaka,pengine ndio msimamo wake ktk chama lakini ni dhahiri Ccm utamaduni uliopo au sheria,kanuni,miongozo au katiba yenyewe ya kumwachia mgombea urais kumaliza kipindi cha pili si kwa namna Rais aliyepo madaraka alivyopata nafasi hiyo.
Ikumbukwe wazi, Rais Samia mbali na nafasi hiyo, amerithi kutoka nafasi hiyo baada ya dhoruba kubwa iliyotokea ktk Taifa ya kuondokewa na hayati Magufuli ambaye ndiye chama kilikuwa kimemuidhinisha katika nafasi ya uraisi kama ulivyo utamaduni wa chama ya kutoruhusu mgombea mwingine kuchukua fomu ya nafasi hiyo. Hivyo Mwenyezi Shaka binafsi naona anayeeleza bila kusema aliyepo madaraka alipitishwa na mkutano mkuu kugombea nafasi ya Urais au alilitishwa kama makamu wa Rais akitokea Zanzibar kama ilivyo hada?
Binafsi nashauri tumwache Rais afanye majukumu yake maana 2025 bado mbali sana ila uhuru utamalaki.
 
Kumbukeni mkiendelea kurumbana kumbukeni mungu nae yupo na pia nae anayo maamuzi yake tena Yana nguvu kuwazidi nyie binadamu haya shauli yenu.
 

Tatizo lako litakuwa Ni uelewa wa mambo haya ya Siasa. Toa mfano chama gani na katika Nchi gani hiyo ilibadilisha mgombea muhula mmoja ? Trump mwenyewe na ujinga Wake wote RP walimpa kama chama. Akapigwaaa na wananchi na wanazengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…