CCM yamweka chini ya Uangalizi Balozi Karume

Ukweli ndio huo ccm haijawahi kushinda zanzibar katu na bara uchaguzi wa 2015 lowasa alishinda na 2020 lissu alishinda huku ccm ikishindishwa na dola lakini ipo siku aidha wananchi wataamua lao au dola itawaasi itawatema!!!
2010 pia mkwere hakushinda
 
Ukweli unauma sana. Tangu mfumo wa vyama vingi urudi CCM haijawahi kushinda Zanzibar.
Na huku Bara kuanzia uchaguzi wa 2010 hawajawahi kushinda kwa kura halali. Na kwa kadiri miaka inavyozidi kwenda, kizazi cha CCM kinazidi kuondoka, ndio maana wanazidi kutumia vyombo vya dola waziwazi.
 
Kwani karume kujiunga ACT wazalendo, au kuanzisha chama chake sh ngap?
 
Serikali za kiafrica yaani ni shida ,ukitoa maoni tofauti lazima wakuundie zengwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…