MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
2010 pia mkwere hakushindaUkweli ndio huo ccm haijawahi kushinda zanzibar katu na bara uchaguzi wa 2015 lowasa alishinda na 2020 lissu alishinda huku ccm ikishindishwa na dola lakini ipo siku aidha wananchi wataamua lao au dola itawaasi itawatema!!!