CCM yangu Tujitafakari juu ya Rushwa

CCM yangu Tujitafakari juu ya Rushwa

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Chama changu pendwa cha Mapinduzi tunaumia sana kuona Rushwa inatawala kwenye chaguzi ndogo hizi Alafu na vyombo vya Usalama vinasema ni mambo yetu ya ndani yaachwe? Inaondoa kuaminika Kwa watu!

Acheni kutumia Rushwa kupitisha wagombea maana haina afya Kwa Taifa maana CCM ndo Chama tawala nadhani hadi kwenye 2070 huko sasa tukiendekeza rushwa tutasababisha watu kutudharau!

Tatizo linaanza tunapojilinganisha kwamba Mbona Chadema wanapokea Rushwa! Kwani ni lazima tujilinganishe nao? Hapana Hapana Hapana

CCM inaendekeza vitu vidogo sana kwamba Bashiru kasema hiki na kile tusanasahu kuwadhibiti hawa wala na watoa rushwa ?

Mambo ya Bashiru hajielewi achaneni nayo ila RUSHWA RUSHWA KOMAA NAYO KABISA


Britanicca
 
Chama changu pendwa cha Mapinduzi tunaumia sana kuona Rushwa inatawala kwenye chaguzi ndogo hizi Alafu na vyombo vya Usalama vinasema ni mambo yetu ya ndani yaachwe? Inaondoa kuaminika Kwa watu!

Acheni kutumia Rushwa kupitisha wagombea maana haina afya Kwa Taifa maana CCM ndo Chama tawala nadhani hadi kwenye 2070 huko sasa tukiendekeza rushwa tutasababisha watu kutudharau!

Tatizo linaanza tunapojilinganisha kwamba Mbona Chadema wanapokea Rushwa! Kwani ni lazima tujilinganishe nao? Hapana Hapana Hapana

CCM inaendekeza vitu vidogo sana kwamba Bashiru kasema hiki na kile tusanasahu kuwadhibiti hawa wala na watoa rushwa ?

Mambo ya Bashiru hajielewi achaneni nayo ila RUSHWA RUSHWA KOMAA NAYO KABISA


Britanicca
Hivi inawezekana kumtenga samaki na maji?Ama mimi kilaza ,au hili linawezekanaje,ama kwa kutundikiwa oksijeni?ama kwa kuanikwa juani?ama kwa kubanikwa motoni?ama kwa kutiwa ndimu?ama kwa kutiwa chumvi nyingi?
 
Back
Top Bottom