12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,189
- 407
Serikali inajipiga kifua kwamba katika Uongozi wa MAMA SAMIA RAIS WA JMT ,Demokrasia imestawi.
Kiukweli usawa wa uendeshaji wa shughuli za kisiasa unabinywa chini kwa chini karibia kila Kona ya Nchi yetu.
Kesho Jumanne Tarehe 11/6/2024 kutakuwa na Mkutano wa MHESHIMIWA TUNDU LISSU (MAKAMU/KITI CHADEMA TAIFA) Katika KATA YA MTUNDURU,,Kijiji Cha MTUNDURU.
Baada ya kusikia Tundu Lissu Atakuwa na Mkutano Kijiji na Kara hio ya MTUNDURU, CHAMA TAWALA CCM Kwa uongo wao nao wamedai kufanya Mkutano eneo Hilo Hilo katika Kijiji hicho hicho Cha MTUNDURU.
Kwa habari nilizo nazo kwenye chanzo sahihi kilicho huru kisichofungamana na upande wowote wa chama Cha kisiasa iwe CHADEMA ama CCM;Chama Cha tawala kimeingiwa na kiwewe maana CHADEMA imeshika KASI huko SINGIDA mpaka vijijini,huenda baada ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tukaona MABADILIKO MAKUBWA ya VIJIJI NA MITAA mingi Sana NCHINI kuingozwa na chama kikuu Cha upinzani CHADEMA.
Kwa kawaida wakati WOOTE wakiwa na mikutano Yao kwenye Kijiji hicho Cha MTUNDURU hufanya mikutano Yao kwenye viwanja vyao vya ofisi za CCM kijijini hapo.Iwe nikutano wa Mbunge au mkubwa yeyote mikutano Yao huishia kufanya huko.
Kwa vile TUNDU LISSU anakuja wameogopa mno,
1).Na wao wanatoka kufanya Mkutano eneo la madukani.
2).Wakati wanajua TUNEU LISSU Ana Mkutano kesho Tarehe 11/6)2024 na wao wameamua kufanya Mkutano kesho iyo hio na Tarehe iyo hiyo.
2).Wamepanga kufanya Mkutano kwenye eneo Lilo Hilo ambalo CHADEMA wanafanyia mkutano.------ hii sio sawa Ni vurugu hizo.
3).CCM na Uongozi wa shule ya msingi MTUNDURU wamekaa kikao hapi shuleni na kupiga marufuku chadema wasifanyia Mkutano hata kwenye uwanja wa shule ya msingi MTUNDURU.
CCM acheni uoga waacheni chadema wafanye mikutano kila chama kipewa jukwaa sawa la kueleza Sera zao Mwisho wa siku Wananchi waamua Nani wa kuongoza Kijiji au Jimbo ama NCHI.
Kiukweli usawa wa uendeshaji wa shughuli za kisiasa unabinywa chini kwa chini karibia kila Kona ya Nchi yetu.
Kesho Jumanne Tarehe 11/6/2024 kutakuwa na Mkutano wa MHESHIMIWA TUNDU LISSU (MAKAMU/KITI CHADEMA TAIFA) Katika KATA YA MTUNDURU,,Kijiji Cha MTUNDURU.
Baada ya kusikia Tundu Lissu Atakuwa na Mkutano Kijiji na Kara hio ya MTUNDURU, CHAMA TAWALA CCM Kwa uongo wao nao wamedai kufanya Mkutano eneo Hilo Hilo katika Kijiji hicho hicho Cha MTUNDURU.
Kwa habari nilizo nazo kwenye chanzo sahihi kilicho huru kisichofungamana na upande wowote wa chama Cha kisiasa iwe CHADEMA ama CCM;Chama Cha tawala kimeingiwa na kiwewe maana CHADEMA imeshika KASI huko SINGIDA mpaka vijijini,huenda baada ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tukaona MABADILIKO MAKUBWA ya VIJIJI NA MITAA mingi Sana NCHINI kuingozwa na chama kikuu Cha upinzani CHADEMA.
Kwa kawaida wakati WOOTE wakiwa na mikutano Yao kwenye Kijiji hicho Cha MTUNDURU hufanya mikutano Yao kwenye viwanja vyao vya ofisi za CCM kijijini hapo.Iwe nikutano wa Mbunge au mkubwa yeyote mikutano Yao huishia kufanya huko.
Kwa vile TUNDU LISSU anakuja wameogopa mno,
1).Na wao wanatoka kufanya Mkutano eneo la madukani.
2).Wakati wanajua TUNEU LISSU Ana Mkutano kesho Tarehe 11/6)2024 na wao wameamua kufanya Mkutano kesho iyo hio na Tarehe iyo hiyo.
2).Wamepanga kufanya Mkutano kwenye eneo Lilo Hilo ambalo CHADEMA wanafanyia mkutano.------ hii sio sawa Ni vurugu hizo.
3).CCM na Uongozi wa shule ya msingi MTUNDURU wamekaa kikao hapi shuleni na kupiga marufuku chadema wasifanyia Mkutano hata kwenye uwanja wa shule ya msingi MTUNDURU.
CCM acheni uoga waacheni chadema wafanye mikutano kila chama kipewa jukwaa sawa la kueleza Sera zao Mwisho wa siku Wananchi waamua Nani wa kuongoza Kijiji au Jimbo ama NCHI.