LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hii nchi vijana tusipo amka na kudai nchi yetu iliyopokwa na wanasiasa

Tutakuja kuuzwa sisi na vizazi vyetu

Kama unafanya madudu utaiba chaguzi

Kama unafanya vizuri unaupiga mwingi Kama tunavyoaminishwa hauwezi kuiba chaguzi ndogo hizi!!!

Siasa alipozifikisha Samia ni sehemu hatari Sana

Solution iliyobaki vijana ni kuingia barabarani bila kuwa kwenye mgongo wowote wa wanasiasa

Tudai Taifa la uwajibikaji na Taifa la kizazi Cha kusema ukweli hata Kama inauma.

CCM ni janga la Taifa!!
Yaani msiingie kwenye mgongo wa wanasiasa kupigania maslahi ya wanasiasa?!
 
Yaani msiingie kwenye mgongo wa wanasiasa kupigania maslahi ya wanasiasa?!
Maslahi ya Tanzania kwanza wanaonufaika na mfumo mbovu ni wanasiasa maana Tanzania hakuna vyama vya upinzani Ila Kuna watu wapinzani

Mentally za kuwaza kwamba maandamano ni kuwafaidisha wanasiasa huu ni ujinga

Mbowe, Lema ,Lissu hata leo wakisema watulie tu wasiangaike hawana njaa

Wenye njaa wanabaki ni walewale vijana

Ndio msingi wa hoja yangu!!
 
Tuliwaambia chadema waungane na wanaharakati kudai Katiba wanaona ni vyema kuwadanganya wananchi. Tukisema hakuna upinzani maana yake ni hii..so what’s next?!
mdude yupo jela Soka haijulikani lakini chadema Mungu anawaona..
 
Jamani tujipange 2025 siyo mbali kama mambo yenyewe kulalamika kwenye mitandao bado tutakuwa wasindikizaji na kulalamika tunaonewa tujipange jamani au ndiyo tumekubali kushidwa.
 
Mimi huwa sielewi kwanini tunapoteza mabilioni ku organise uchaguzi wakati tumeshaamua nani ashinde. Ni vizuri hata mwakani tuambiwe tu uchaguzi wa ndani wa CCM ukiisha basi ndio huyo huyo awe mbunge na Rais kuliko hizi hasara na mabilion yanayoteketezwa.

Mama Samia alianza vizuri sijui shida gani imempata naye anarudia yale yale aliyokosoa kuhusu chaguzi za 2019 na 2020. Sijui lini akili ya mtu mweusi itabadilika
Kwanza watu wapate kula au ufisadi
Pili ndio kuwahadaa wananchi
 
 
Hii michezo wanayofanya hawa jamaa naamini ipo siku kama sio sasa ipo siku inakuja, wazee hawakuwa mafala kusema siku za mwizi ni arobaini
 
Mimi moyo wangu una amani kwa sababu baada ya kuona ni Ujinga sikwenda kujiandikisha kupiga kura wala sikupiga kura!
Nina amani kuliko ningeshiriki uharamia huo!
 
kwa dhati kabisa nakipongeza chama cha mapinduzi kwa ushindi mnono wa kile kilicho itwa uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.
Ccm imeonesha ni kiasi gani upo makini hasa kwenye kusimamia dola yao,ccm ni chama makini kisicho yumbishwa na kalele za wahuni wanaojiita vyama vya upinzani.

vyama vya kihuni kama Act,chadema,cuf,Nccr nk vimeonyesha ni kiasi gani ni vyama vya wahuni vinavyo endeshwa na wahuni.

kitendo cha kushiriki mchakato wa uchaguzi na uchaguzi huu ni kukubali kushiriki uhuni
 
Chura kiziwi mwenyewe ameshindwa hata kukipongeza na kumpongeza mkwewe kwa ushahidi mnono.
 
kwa dhati kabisa nakipongeza chama cha mapinduzi kwa ushindi mnono wa kile kilicho itwa uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.
Ccm imeonesha ni kiasi gani upo makini hasa kwenye kusimamia dola yao,ccm ni chama makini kisicho yumbishwa na kalele za wahuni wanaojiita vyama vya upinzani.

vyama vya kihuni kama Act,chadema,cuf,Nccr nk vimeonyesha ni kiasi gani ni vyama vya wahuni vinavyo endeshwa na wahuni.

kitendo cha kushiriki mchakato wa uchaguzi na uchaguzi huu ni kukubali kushiriki uhuni
Jitizame ww ulivyo Kisha jisemee moyon hapa natenda dhambi ya uongo , ccmu wangekuwa makini bas ungekuwa unaandika namna ccmu walivyoukwamua umaskin , ujinga na maradhi kwenye jamii yako
 
vyama vinavyo jiita vya upinzani vinafisha matumaini ya watz.

na ccm inatuonesha ni kiasi gani hivi vyama vinavyo jiita vya upinzani ni vyama vya kihuni.
Wahuni ni wale wanaovaa suti huku ni watekaji, wauji, majambazi na majizi ya kura.
 
Wapinzani kosa lilianzia pale kwenye kujiandikisha kwenye daftari walitakiwa watumie nguvu kubwa kuweka mawakala na kuhamasisha watu wajiandikishe
 
Back
Top Bottom