Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kichaaa Lema anasemaje kwani?Utumbo
Swali ni kuwa wameshindaje kiasi hicho?Vyama vya upinzani vinapaswa kujitasmini wasijifiche kwenye mgongo wa kubiwa kura hivi unaibiwaje kwa kiasi hicho
CCM wanajisifia upumbavu! Huwezi kuwakata wenzio halafu uje useme umeshinda kwa asilimia mia. CCM ni chama la mapumbavu!Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kwa asilimia 100 kwenye nafasi zote zilizokuwa zikiwaniwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024.
Mwajuma ameyasema hayo wakati akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi katika Manispaa hiyo.
Pumbavuuu!Vyama vya upinzani vinapaswa kujitasmini wasijifiche kwenye mgongo wa kubiwa kura hivi unaibiwaje kwa kiasi hicho
Muulize kamanda Mbowe😁Swali ni kuwa wameshindaje kiasi hicho?
Amandla...
Stupid comment### MAASKOFU wavue magauni wavae magwanda.