Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kwa asilimia 100 kwenye nafasi zote zilizokuwa zikiwaniwa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024.
Mwajuma ameyasema hayo wakati akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi katika Manispaa hiyo.
Mwajuma ameyasema hayo wakati akitoa taarifa za matokeo ya uchaguzi katika Manispaa hiyo.