CCM yasimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku 7 na kuwasimamisha Watendaji Wakuu watatu

CCM yasimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku 7 na kuwasimamisha Watendaji Wakuu watatu

Kwahiyo mamlaka ya serikali imeshindwa kuliona jambo hili na kulichukulia hatua. Sawa
 
Gazeti limeongea Kama Nani wakati mwenye chama yupo Dani!? Mbisa karuhus vip hii itokeeee [emoji28]
Kuna Kirusi chenye Uadui kama si Chuki na Mwenyekiti ambaye pia ni Rais wa Tanzania Samia kipo katika Mkakati ulio Maalum wa Kumyumbisha hadi Kumgombanisha na Umma ila ama anakilea kwa Kukiogopa au bado hajakijua.
 
Hicho Kigazeti Cha CCM Hata Kama Wangekifungia Milele Nchi Haina Hasara kwa Maana ni Kwa Maslahi ya CCM, na sio Watanzania.
 
VITA YA ULAJI.
KUMBE HUYU MAMA NA YEYE ANA TAMAA YA FISI NAMNA HII?

YAJAYO YANAHUZUNISHA.
 
Ni gazeti lake. Sasa anafunga nyumba yake, mijitu inalalamika nini? Akitaka anaweza hata kuibomoa kabisa akiona haifai imeingiliwa na mizimu.
Sio sheria,

Unaweza ukawa n duka na ukaamua kutokuuza kitu! (Unatenda kosa) na utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria
 
Huko ni kulifungia au kulizuia lisitoke. Sababu mmiliki akiamua kutokulitoa gazeti lake hata kwa mwaka sidhani kama ni kulifungia.

Ni kama mtu akiamua kujiweka lockdown nyumbani kwake, sidhani kama hapo atakuwa amefungiwa bali ameamua kujifungia mwenyewe ?
Ni Lugha Tu za Kibabe, Ukisoma Katiba Ya Ccm, Mali zote za Chama Ziko Under Custody ya Body Of Trustees, Na Wao ndio wanaotoa Kusudio la Kutochapisha Habari more than 7 days na Sio KM wa CCM.
 
DANIEL CHONGOLO AMBAE NI KATIBU MKUU CCM TAIFA AMELIFUNGIA SIKU SABA GAZETI LA UHURU KWA KUCHAPISHA HABARI ISEMAYO KUWA RAIS SAMIA HASSANI SULUHU HANA MPANGO WA KUGOMBEA 2025.

GAZETI LA UHURU LIMEFUNGUWA SIKU SABA


😅😅😅😅😅😅😅
Uhuru wa vyombo vya habari saizi uko huru.
mhariri ahapolifungia gazeti lake - wengine chukueni jembe mkalime.
 
Damage control mode activated 🤣🤣 CCM Kama watoto wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe 🤣🤣hiyo ndio janja yao ilipoishia ili watutoe kwenye mjadala wa mvaa shungi alivyoharisha mama kanya hata mkizoa tumeshaona kaharisha kajinyea maana hata BBC wenyewe wamejistukia ukiangalia baada ya Yale mazungumzo maana sio mahojianao
 
VITA YA ULAJI.
KUMBE HUYU MAMA NA YEYE ANA TAMAA YA FISI NAMNA HII?

YAJAYO YANAHUZUNISHA.
... Mkuu, ule m-AirBus 320 sio mchezo! Mdege wa zadi ya watu 200 unalitumia wewe na wapambe wako wasiozidi 25 ni balaa. Hata kama hukuwa na wazo la kuongeza muda wa uongozi lazima utabadili mawazo; hizo raha unazotumbua kwa tozo za wananchi ni habari ingine. Nina uhakika saa hizi anatamani "kufia madarakani" kama ingewezekana! Bila KATIBA BORA hata aje malaika kuongoza nchi hii ni ubatili!
 
Back
Top Bottom