CCM yasimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku 7 na kuwasimamisha Watendaji Wakuu watatu

Si sahihi Katibu Mkuu wa CCM kusema amelifungia gazeti bali aseme ameagiza usitishwaji wa uchapishaji/uzalishaji wa gazeti hilo.
Yupo Waziri mwenye dhamana na magazeti ndiye angetoa tamko kama gazeti hilo limekiuka misingi ya kusajiliwa kwake!
Hivi CCM kuna wanasheria gani ?! Mbona mnashindwa kuwashauri viongozi katika kutimiza majukumu yao!
Tatizo la kupeana nafasi ndani ya Chama bila kujali uwezo, CCM imejaza Wanasheria vil.aza sana!
 
Anapenda mivyeo mingimingi. Shauri yao wenyewe
Nalog off
 
Me sijaelewa kabisa,hilo gazeti ni la chama au??

M,ccm anapataje nguvu ya kulifungia hilo gazeti,nipeni elim ndugu zangu.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Katibu mkuu wa CCM mh. Daniel Chongolo amelifungia gazeti hilo la uhuru. Pia wafanyakazi wengine na wahariri wa gazeti hilo wamesimamishwa.
Gazeti hilo limefungwa kutoka na upotoshaji ulio fanywa.
Pia Ikumbukwe Gazeti hilo ni mali ya CCM



 
Kwani uongo? Mama atoshi.
Kama 25 atasimama mtapata kura 1.
Sasa kama jiwe na ubabe wake bila kuiba asingepita,watz wa leo sio wa jana.
 
Gazeti linafungiwa vipi na Katibu Mkuu wa CCM?
 

Menyewe kwa menyewe wallahi.

Kwani waziri mwenye dhamana kasema je?
 
Mbona kichwa cha habari kiko kibiashara kuuza gazeti tu. Ukisoma content unakuta hakuna tofauti mama alivyosema. Alisema ni mapema kua amefanya uamuzi kama atagombea urais. Hawa kina chongolo naona wanafanya papara jazba na kujipendekeza tu. Yafaa wawe makini sana jinsi ya kuongoza chama.
 
Mazingaombwe yameanza tena. Very technical to identify behind this🤸🤸🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…