CCM yatoa maagizo waliotajwa ripoti za CAG, Takukuru

Intelejensia inaonyesha wahusika wengi wameshakimbilia kwa waganga wa jadi kupooza pooza wasidhuriwe pamoja na wizi wao,
NB,
wezi wote rudisheni fedha magagula hayatafanya lolote katika awamu hii ya sita!, Rudisheni fedha za umma,haraka.

Taabu kusikia kwao kama masikio ya kenge
 
Mwenyekiti wa CCM Taifa anaongoza kikao cha kuiagiza serikali

Mwenyekiti wa CCM Taifa ndiye Amiri Jeshi Mkuu.


Uchawi hautaisha Afrika
 
Kwa hivyo Mama hana mamlaka ya kuchukua hatua hadi aende huko kwenye mavikao mambuzini kuomba ruhusa?!.
 
Mwenyekiti wa CCM Taifa anaongoza kikao cha kuiagiza serikali

Mwenyekiti wa CCM Taifa ndiye Amiri Jeshi Mkuu.


Uchawi hautaisha Afrika

Tatizo wenye nchi tumelala. Watu kama Raila ni kina Lipumba. Wahamasishaji watu wako wapi?
 
Kwa hivyo Mama hana mamlaka ya kuchukua hatua hadi aende huko kwenye mavikao mambuzini kuomba ruhusa?!.

Ruto afanyeje kama Raila akichagua kuwa kama hawa wa kwetu?
 
Tatizo wenye nchi tumelala. Watu kama Raila ni kina Lipumba. Wahamasishaji watu wako wapi?
Raia wsnaosubiri kuhamasishwa ili wajue haki zao ni raia waliokufa mioyo.

Mungu atashusha ghadhabu yake soon
 
Raia wsnaosubiri kuhamasishwa ili wajue haki zao ni raia waliokufa mioyo.

Mungu atashusha ghadhabu yake soon

Hamasa inataka mtu kuijenga na kuiongoza haiwezi kunyesha kama mvua. Ndiyo maana jumatatu na alhamisi ni rasmi. Kwa nini siyo jumatano au jumamosi?

Baba akiweka manyanga chini mambo ya kufungua server yanaishia hapo.

Kukwepa jukumu la kuwahamasisha watu ni kutaka kuwatumia tu kama ngazi.
 
Hapo tutawatoa madarakani ila wataenda na fedha sisi tunataka fedha zetu ata wasipotolewa kwenye vyeo vyao au kazi zao
Watolewe madarakani na wawajibishwe kwa ubadhirifu walioufanya. Ifikie kipindi Tanzania iwe kama China katika swala la kuwashugurikia mafisadi kwa mustakabali wa nchi yetu.
Mpaka lini tutaendelea kujitoa kuitumikia nchi yetu kwa moyo wote wakati kuna watu wanajinufaisha kivyao.....
Hatuwezi kuendelea kuteseka na uananchi wetu kisa watu wachache......
 

Kufikia yenyewe kama China haiwezekani. Wenye kuifikisha huko ni sisi. Hapo itabidi kujizatiti kweli kweli.
 
Raia wsnaosubiri kuhamasishwa ili wajue haki zao ni raia waliokufa mioyo.

Mungu atashusha ghadhabu yake soon
Je hao wanaotoa hamasa wana mioyo ya aina gani? % ya watanzania wameshajikatia tamaa either kwakujua au kwa kutokujua haki zao, wanaishi ilimradi jua limezama na kesho limekuchwa na mahangaiko ya kutafuta ugali ni juu yao bila kutambua kuwa serikali iko pale kwaajiri ya kurahisisha mazingira ya utafurahi wao wa ugali.
Ujinga ni juu ya watanzania kutokujua haki zao, wachache wananjitokeza kuwaeleza na kuwaelimisha lakini mwisho wa siku wanawadharau wale wanaowafundisha.......
We Tanzanians are stupid creatures in the world
 

Kwani watanzania wa enzi za Dk. Slaa walitokea wapi? Au hawa:

Your browser is not able to display this video.


Ya nini kutoliita koleo kwa jina lake? Viongozi wetu ni madhubuti wa aina ya Maalim, Odinga, Mtikila, Nyerere, Mandela, Tutu, Malema na wa namma hiyo?

Au viongozi wetu ni wa aina ya kina Lipumba na kina Cheyo?

Isije kuwa tunasubiria dodo kwenye minazi. Waliopo ilikuwa muhimu kujipima kama wanatosha. Kama vipi kuachia ngazi nayo ni option.

Inafahamika ikifikia hapa wengi huingiwa kigugumizi maungo huona woga wakaomba kikombe hicho kiwahusu wengine isipokuwa wao.
 
Sasa unautenganisha vipi CCM na seeikali, ni sawa na kusema baba wa familia amtaka mama wa familia awachukulie hatua watoto wao wa kuwazaa ndani ya nyumba yao, kama sio usanii ni kitu Gani.
 
Mh huu utaratib tangu lini ukawa activated? Na kamwe hauwez kua activated ✔️!! Haujatokea utawala wa kuwawajibisha mafisadi na wabadhirifu ndan ya huu utawala wa CCM!! NB; Huo sio utamaduni wao!!
 
Tunahitaji wenye mioyo ya chuma kubadirisha upepo wa watanzania waoga kuzijua haki zao na maendeleo thabiti ya taifa lao.
 
Mh huu utaratib tangu lini ukawa activated? Na kamwe hauwez kua activated ✔️!! Haujatokea utawala wa kuwawajibisha mafisadi na wabadhirifu ndan ya huu utawala wa CCM!! NB; Huo sio utamaduni wao!!

Weka suluhu mkuu. Tunafanya je kutoka hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…