Ni new constitution, na reshuffling kubwa ndan ya utawala!!
Mimi sirudishi, nimekula kwa urefu wa kamba yangu , shida niniIntelejensia inaonyesha wahusika wengi wameshakimbilia kwa waganga wa jadi kupooza pooza wasidhuriwe pamoja na wizi wao,
NB,
wezi wote rudisheni fedha magagula hayatafanya lolote katika awamu hii ya sita!, Rudisheni fedha za umma,haraka.
Sophia! Huu ni ukakasi!Chama tawala nao wamesema:
View attachment 2573826
Hiki angalau kimtindo, kitakuwa kimeumana.
Ngoja tuone.
-----
Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuwachukulia hatua kwa waliohusika kwenye ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2021/22 na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Chama hicho kimetoa wito huo leo Jumamosi, Aprili 1, 2023 mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama hicho, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
Ripoti hizo za CAG na Takukuru ziliwasilishwa Ikulu, Dar es Salaam, Machi 29, 2023 na kubainisha ubadhirifu wa fedha katika maeneo mbalimbali serikalini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jioni, ofisi ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Sophia Mjema amesema kamati kuu imesikitishwa na kuwepo baadhi ya maeneo mengine ambayo bado yanatakiwa kufanyiwa kazi ili kuondoa upungufu, udhaifu uliobainishwa, ikiwa ni pamoja na mifumo ya malipo na ukusanyaji wa mapato kutokusomana.
Amesema kuwepo kwa baadhi ya watumishi wa umma wasiokuwa waadilifu, hali inayosababisha serikali kukosa mapato na kupata hasara, uwepo wa mashirika ya umma yanayojiendesha kwa hasara na vitendo vya ubadhirifu wa mali na rasilimali za umma, kama vile kuongeza bei za manunuzi ya Serikali.
“Kamati Kuu imeielekeza Serikali kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliobainika kuhusika katika ukiukaji wa sheria na kusababisha ubadhirifu wa mali na rasilimali za nchi,” alisema Mjema na kuongeza:
“…imetoa maelekezo kwa Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana za uongozi vibaya na kushindwa kuweka maslahi ya nchi na uzalendo mbele katika nafasi walizoaminiwa kutumikia watu, badala yake wanaweka maslahi binafsi.”
Mjema amesema kamati kuu ya CCM, imeipongeza Serikali kwa kuratibu na kufanikisha vema ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris aliyetembelea nchi yetu kwa siku tatu kuanzia Machi 29 hadi 31, 2023.
Amesema ziara hiyo imeongeza uimara wa ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani na kufungua milango zaidi ya mahusiano yenye faida kwa maendeleo na ustawi kwa pande zote mbili, hususan katika maeneo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, kukabiliana na magonjwa, uchumi, uwekezaji na ajira.
Mjema amesema kamati kuu imezipongeza Serikali zote mbili za CCM ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Samia na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, chini ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Rais Hussen Ali Mwinyi kwa kuendelea kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 kwa vitendo, kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Watanzania wote.
Chanzo: Mwanannchi
Tuamue Sasa, je tuko tayari kama wananchi?Kufikia yenyewe kama China haiwezekani. Wenye kuifikisha huko ni sisi. Hapo itabidi kujizatiti kweli kweli.
Mimi na wewe tunaweza kuwa tayari. Wawili sisi hatutoshi. Hapa ndipo wito wa kuzigeuza nyomi kutoka kwenye kuuza sura unapokuja. Nani atakamatwa katikati ya nyomi hizi:Tuamue Sasa, je tuko tayari kama wananchi?
Huyu mama nae ni msaniii,sasa anampa maagizo nani?,yeye ndio Raisi na mwenyekiti wa chama,chama kinaipa maagizo serikali!!,serikali ambsyo yeye ndio boss!!sasa anajipa maagizo mwenyewe!!!??Chama tawala nao wamesema:
View attachment 2573826
Hiki angalau kimtindo, kitakuwa kimeumana.
Ngoja tuone.
-----
Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuwachukulia hatua kwa waliohusika kwenye ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2021/22 na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Chama hicho kimetoa wito huo leo Jumamosi, Aprili 1, 2023 mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama hicho, kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan.
Ripoti hizo za CAG na Takukuru ziliwasilishwa Ikulu, Dar es Salaam, Machi 29, 2023 na kubainisha ubadhirifu wa fedha katika maeneo mbalimbali serikalini.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jioni, ofisi ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Sophia Mjema amesema kamati kuu imesikitishwa na kuwepo baadhi ya maeneo mengine ambayo bado yanatakiwa kufanyiwa kazi ili kuondoa upungufu, udhaifu uliobainishwa, ikiwa ni pamoja na mifumo ya malipo na ukusanyaji wa mapato kutokusomana.
Amesema kuwepo kwa baadhi ya watumishi wa umma wasiokuwa waadilifu, hali inayosababisha serikali kukosa mapato na kupata hasara, uwepo wa mashirika ya umma yanayojiendesha kwa hasara na vitendo vya ubadhirifu wa mali na rasilimali za umma, kama vile kuongeza bei za manunuzi ya Serikali.
“Kamati Kuu imeielekeza Serikali kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliobainika kuhusika katika ukiukaji wa sheria na kusababisha ubadhirifu wa mali na rasilimali za nchi,” alisema Mjema na kuongeza:
“…imetoa maelekezo kwa Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana za uongozi vibaya na kushindwa kuweka maslahi ya nchi na uzalendo mbele katika nafasi walizoaminiwa kutumikia watu, badala yake wanaweka maslahi binafsi.”
Mjema amesema kamati kuu ya CCM, imeipongeza Serikali kwa kuratibu na kufanikisha vema ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris aliyetembelea nchi yetu kwa siku tatu kuanzia Machi 29 hadi 31, 2023.
Amesema ziara hiyo imeongeza uimara wa ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani na kufungua milango zaidi ya mahusiano yenye faida kwa maendeleo na ustawi kwa pande zote mbili, hususan katika maeneo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, kukabiliana na magonjwa, uchumi, uwekezaji na ajira.
Mjema amesema kamati kuu imezipongeza Serikali zote mbili za CCM ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Samia na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, chini ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Rais Hussen Ali Mwinyi kwa kuendelea kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 kwa vitendo, kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Watanzania wote.
Chanzo: Mwanannchi
Mwenyekiti wa kikao hiki ndiye Rais wa nchi ambaye ndiye wanamshitakia. Haya mambo yanapatikana Tanzania tu.Usanii tu
Kwa ushauri wangu, ni muhimu sana kwa Serikali kuchukua hatua zaidi ya kuwatoa tu kwenye madaraka watu waliobainika kufanya ubadhilifu wa fedha. Ni muhimu pia kurudisha fedha hizo ili kuirejesha serikali kwenye hali nzuri ya kiuchumi na kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma muhimu. Ni muhimu pia kwa Serikali kuwachukulia hatua kali watu wote wanaohusika na vitendo vya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka na kuhakikisha kuwa haki inatendeka. Hii itasaidia kuimarisha imani ya wananchi kwa serikali yao na kuhakikisha kuwa nchi inaelekea kwenye maendeleo endelevu.
Tatizo ni mindset zetu watanzania juu ya kudai haki zetu, katiba mpya, mamb ambayo yanahitaji zaid actions than theories!! That's our probesYanapatikana je hayo? Kwa utashi wa walamba asali, wahuni au vijana wa hovyo madarakani?
Palikuwa na maoni haya mkuu:
Ni Tanzania tu, tunakotaka mabadiliko bila vitendo
Mwongozo wako tafadhali.