Elections 2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

What do expect from a congegration of Alibaba and forty thieves?
 

Ngoja wajaribu yale ya kumsimamisha Zitto tu na ishu ya Buzwagi yaliwatoa jasho, hii sasa wataiingiza nchi kwenye mgogoro rasmi ambao Chadema waliuepusha kwa kuamua tu kutumia haki yao ya kujieleza kwa kutoka nchi. Wakileta hoja ya kuwasimamisha Chadema itabidi pia ijadiliwe hoja ya kwa nini (na hata ushahidi uwasilishwe) hawamtambui JK. Hapo chill na wenzake watakuwa wamejiumbua.
 
Chadema si CCM, CHADEMA imejipanga kila kitu, na kabla ya kufanya maamuzi yake waliangalia kila inshu yoyote kuhusu sheria, KIUFUPI CHADEMA HAWAKURUPUKI.
 
chiligati ana elimu ya kiwango gani?
 
Yahya usijilipue basi!!!!!!!!! Tatizo ni mswahili asiye na akili na uchungu na walalahoi kazi yake ngonao tu
 

Kuchangia hotuba au Hoja yoyote BUNGENI ni maamuzi ya mtu, wa hulazimishwi, ndo maana bunge la TISA kuna watu hawajawahi kuchangia hata hoja moja, mfano ROSTAM AZIZI
 
Hawa walivyozoea kukurupuka kujibu tuhuma, hebu tusikie watajibu nini. Kama mkuu wa Usalama wa Taifa naye alikurupuka basi hata huyu hatumshangai.
 

Duh!! Wamesahau zomea zomea ziliwapata walivyomfungia Zitto, wajaribu wataona.
 

Wacha kubabaika Ndg CHADEMA kuna vichwa pale. Hawa watu walifikiri hizo imprications kabla ya kufikia huo uamuzi. Tulia uone mambo ngoma ndo imeanza mdundo.
What matters most massage sent.
 
John chiligati wa CCM ndo ameongea hizo pumba mbele ya waandishi wa habari (this guy must be mad) eti kasema chama chake na kushirikiana na vyama vingine vinapeleka pendekezo lao bungeni waone uwezekano wa kuwazuia hawa wapiganaji

Hazuiliki mtu, hawatujui nini?

This is our strength "we know them in&out, but they don't know even our out"

... irrevesible change has began
 
Wana Matatizo ya kiakili badala wafikilie kujipanga upya kukabiliana na hizi changamoto .cjui ndo wanawaza revenge:embarrassed:
 
Lazima CCM waonekane wamereact kwa issue ya jana, cause ni aibu kwa wageni wa kimataifa walioalikwa jamani
 
Ni haki yao kikatiba na hakuna kanuni wala sheria ya bunge iliyovunjwa kwa hiyo ccm a na ccm b hawana hoja ya msingi katika hili na swala la kujadili hoja ya msela ni wao kuamua kuchangia au kutokuchangia kutokuwepo kusikiliza sio hoja hansard za kazi gani kila neno litamkwalo bungeni huwa linarekodiwa wajameni!
 
Hivi mtoto wa kike kavunja ungo unafanya sherehe anabebwa mabegani na binamu yake matiti nje na kavaa kanga moja wewe baba unashangilia mtoto kakua kwa kumzunguka hiyo inakuja akilini, hivi ilikuwa mtu akili hii akapewa nchi?
 
 
Wanamwandalia nani hilo tamko?
 
Nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale Ikulu na itawauma sana 5 more years.

.
Huh, Heaven help me! Unamaanisha nini mswahili??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…