RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 200
Na maandamano yanakuja ama kweli CCM ni chaka la Majuha!
Yaani mchngaji wangekuwa wanaruhusu kugonga senksi mara mbili ningekugea nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na maandamano yanakuja ama kweli CCM ni chaka la Majuha!
naomba kifungu cha kanuni za kudumu za bunge kitakachotumika kufanya hivyo, ustuletee ukihiyo wa kiccm hapa? Hata chiligati amesema kuwa wataomba chadema wamatambue raisi kwanza hayo wewe umeyatoa wapi?. nakupatia kanuni za kudumu za bunge letu ili ufute ukihiyo wako.
massage tayari imeshakuwa sent, by february 2011 wakati hotuba inajadiliwa hata wabunge wa ccm watakuwa hawapo makini kwa hotuba hiyo ila kujijenga kwa mawaziri wapya new emerging administration (urais 2015) .
Utaona hotuba hiyo itakuwa haina wachangiaji wengi.
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.
Hazuiliki mtu, hawatujui nini?
This is our strength "we know them in&out, but they don't know even our out"
... irrevesible change has began
mmh.. kama kitendo kile kilikuwa ni cha kijinga, cha kitoto na kisicho na maana kwani hakibadilishi aliyetangazwa mshindi.. kwanini hili linawasumbua? I don't understand. Mimi nadhani CCM wangepuuzia tu.. si walisema "wataenda, watarudi? au kuna kitu ninamiss?
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.