Safari hii ccm inawafia mikono mwenuHakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo
Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Mzee kuongea vizuri sema wanataka kumfundusha cha kusemaKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamechoka na ulaghai, ghiliba na hila za ccmKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa hali ya kisiasa ndani ya ccm inazidi kuvurugika kabisa baada ya kugundua kuwa hata lile kundi walilobakia nalo tayari limeelimikaMzee kuongea vizuri sema wanataka kumfundusha cha kusema
Huu ni ukombozi wa hali ya juu kabisa, huyo mzee ni mmoja tu lkn nyuma yake kuna wazee wengi sana.Watu wamechoka na ulaghai, ghiliba na hila za ccm
Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo
Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Wacha mapovu mwanachama mwenzenu kaamua kuwavua nguo sasa wewe badala ya uchutame unaaza kumkimbiza huyo mwana chama aliye wavua nguo.
Muwache tabia za kuwadanganya wananchi, kuanzia jana hiyo badilikeni maana sasa mmeshaanza kukataliwa hata vijijini mliko kuwa mmebakia nako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo
Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Watu wamechoka na ulaghai, ghiliba na hila za ccm
Haikusaidii kitu kuondoa hii clip ya mzee wa kijijini kabisa kuamua kuikataa ccm.Kama kina Katambi walivyotuvua nguo chadema juu ya matumizi mabaya ya ruzuku..
Heil JPM
Haitusaidii wala haiwezi kututoa kwenye hoja ya kumsifia mzee wa kijijini kuikataa ccm hadharaniWengi wamechoka makato ya wabunge yanavyoshindwa kusaidia kukijenga chama na kusaidia uchaguzi
Viva JPM
Unaitenganishaje TANU na CCM?Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM
Tanu na ccm ni kitu kilekile, mbona Tanganyika hampendi kuitaja na wakati Tanu kilikuwa chama cha Tanganyika?Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo
Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Haikusaidii kitu kuondoa hii clip ya mzee wa kijijini kabisa kuamua kuikataa ccm.
Kaamua kufanya hivyo hadharani tena mbele ya viongozi wenu, na ujue huyo ni mwakilishi wa wana vijiji wengi sana.
Ccm huu ndiyo mwisho wenu maana ngome yenu tayari imeingia sumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitusaidii wala haiwezi kututoa kwenye hoja ya kumsifia mzee wa kijijini kuikataa ccm hadharani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga, hao ndiyo wananchi wameamua kuikataa ccm sasanaitunza comment yako nitaunganisha na "tumeibiwa kura"..[emoji3]
Viva Magu
Heil JPM
Naona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga, hao ndiyo wananchi wameamua kuikataa ccm sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu huwezi kuwasikia wakiitamka Tanganyika, hawa watu sijui wamerogwa na mwenge au uchawi gani yarabi.Unaitenganishaje TANU na CCM?
Hivi wewe YEHODAYA ukibatizwa Leo kuitwa Ndugai basi YEHODAYA anakuwa amekufa?Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM
Chadema ndio lugha hai utasikia CCM ilikuwepo madarakani Saudi ya miaka hamsini wakihesabu kuanzia mwaka 1961 Tanzania ilipopata uhuru wakati CCM ilizaliwa 1977
Huyo mzee fix my Chadema aliyevaa nguo mtumba za CCM
Mtu wenye huyo Chadema hakuna kadi ya CCM ya mwaka 62