Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao

Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao

Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo

Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Safari hii ccm inawafia mikono mwenu
tapatalk_1593965156914.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kina Katambi walivyotuvua nguo chadema juu ya matumizi mabaya ya ruzuku..

Heil JPM
Wacha mapovu mwanachama mwenzenu kaamua kuwavua nguo sasa wewe badala ya uchutame unaaza kumkimbiza huyo mwana chama aliye wavua nguo.

Muwache tabia za kuwadanganya wananchi, kuanzia jana hiyo badilikeni maana sasa mmeshaanza kukataliwa hata vijijini mliko kuwa mmebakia nako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kina Katambi walivyotuvua nguo chadema juu ya matumizi mabaya ya ruzuku..

Heil JPM
Haikusaidii kitu kuondoa hii clip ya mzee wa kijijini kabisa kuamua kuikataa ccm.

Kaamua kufanya hivyo hadharani tena mbele ya viongozi wenu, na ujue huyo ni mwakilishi wa wana vijiji wengi sana.

Ccm huu ndiyo mwisho wenu maana ngome yenu tayari imeingia sumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo

Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Tanu na ccm ni kitu kilekile, mbona Tanganyika hampendi kuitaja na wakati Tanu kilikuwa chama cha Tanganyika?
 
naitunza comment yako nitaunganisha na "tumeibiwa kura"..[emoji3]

Viva Magu
Heil JPM
Haikusaidii kitu kuondoa hii clip ya mzee wa kijijini kabisa kuamua kuikataa ccm.

Kaamua kufanya hivyo hadharani tena mbele ya viongozi wenu, na ujue huyo ni mwakilishi wa wana vijiji wengi sana.

Ccm huu ndiyo mwisho wenu maana ngome yenu tayari imeingia sumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM

Chadema ndio lugha hai utasikia CCM ilikuwepo madarakani Saudi ya miaka hamsini wakihesabu kuanzia mwaka 1961 Tanzania ilipopata uhuru wakati CCM ilizaliwa 1977

Huyo mzee fix my Chadema aliyevaa nguo mtumba za CCM

Mtu wenye huyo Chadema hakuna kadi ya CCM ya mwaka 62
Hivi wewe YEHODAYA ukibatizwa Leo kuitwa Ndugai basi YEHODAYA anakuwa amekufa?
TANU ndio CCM
 
Back
Top Bottom