Nawafanye tu hivyo labda itasaidia hali kubadilika attache kusakama wapinzani aangalie uvunguni Lkuna nnWatu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano
Wacheni wajifariji na ujinga wao hao chadema.Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Kama jpm anatekeleza Sera hadi wapinzani wanaunga nia vipi amuogope membe !
Cheti fake wewe!Dingirai sijui kana anapata usingizi kwa sasa ukichanganya na mafaili yaliyojaa mpaka kitandani ndio kabisa hamna ata lepe la usingizi
Cheti hewa povu hadi puani pole sana!Mimi napendelea zaidi misisiemu ikiuwana yenyewe kwa yenyewe.Nitatembea na boxer chumbani kwangu siku nzima.
Kwa akili yenu ndogo mnadhani mtaleta mtafaruku kumbe mnazidi kuitangaza ccm.Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Ustawi wa taifa hili ni wajibu wa kila mtu,mimi na wewe,usisubiri mimi nikukomboe jikomboe mwenyeweKwa akili yenu ndogo mnadhani mtaleta mtafaruku kumbe mnazidi kuitangaza ccm.
Upinzani usiyokuwa na agenda inayosubiri Embe dodo idondoke wale bila kufanya kazi
sukumia ndani membeLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
2020 Twende na MembeAcheni kumfitinisha Membe na JPM....
Hii.kauli ungemwambia Musiba na. Katibu mkuu wakoAcheni kumfitinisha Membe na JPM....
Makalio ya ngedere weye tena yaliyopauka.Umetokea wapi hadi ujidai unafukunyuka humu JF?Kwenye orodha ya Bashite lazima utakuwepo.Cheti hewa povu hadi puani pole sana!
Hivi ulitemeshwa wapi vile?[emoji1787]