Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Kuunga mkono ni kwa muda maalumu?ikifika krismas,juhudi za kumuunga rais zinakwisha?ni lini tena mtaanza kupokea wanaounga mkono rais na kuwa chaguzi ndogo za kuungwa mkono?
Leo mnakazania chaguzi ndogo na kuunga mkono kisa demokrasia,Msd hamlipi madeni na kunyimwa kukoa tena hizo juhudi kwann msilioe maseni?
Mnapongezajeshi kununua korosho leo mwezi watu hawaipwi kisa kuhakiki waliuza ndo waliolima ,miaka ya nyuma ,haya hayakuwepo?
 
Hata mwanzoni mlikuwa mnasema ni uzushi ila juzi Bashiru kathibitisha kuwa huko CCM kuna fukuto la Membe kutaka kugombe uraisi 2020.

Kule sasa sio fukuto tena bali ni JOTO; kwani sasa hivi hata hao mawaziri wake hawaruhusiwi kufanya ziara mikoani bila kuomba ruhusa; yote hayo yakiwa ni kuthibiti kuwa wanaweza kufanya kampeni za kumuangusha!!
 
Back
Top Bottom