CCM yawavua Uongozi Wanachama wawili kutokana na kukiuka maadili ya uongozi

CCM yawavua Uongozi Wanachama wawili kutokana na kukiuka maadili ya uongozi

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Akizungumza na waandishi wa habari Septemba 1, 2024 Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ametangaza uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwafuta uongozi wanachama wawili wa chama hicho.

Kamati kuu ya CCM imewaondoa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Mkoa wa Lindi, Palina Ninje pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Abdul Zahoro kutokana na kukiuka misingi na maadili ya uongozi.

Aidha Kamati kuu maalum ya Chama cha Mapinduzi, chini ya mwenyekiti Rais Samia Suluhu imekutana Septemba 1, 2025 jijini Dar e Salaam.


1725210840303.jpeg
 
Mmmmm AbdulnZahoro ameharibu nini? Fitnaas tuuu.....Mwenyekiti hana salary.....fitna tuuu
 
Akizungumza na waandishi wa habari Septemba 1, 2024 Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ametangaza uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwafuta uongozi wanachama wawili wa chama hicho

Kamati kuu ya CCM imewaondoa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Mkoa wa Lindi, Palina Ninje pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Abdul Zahoro kutokana na kukiuka misingi na maadili ya uongozi

Aidha Kamati kuu maalum ya Chama cha Mapinduzi, chini ya mwenyekiti Rais Samia Suluhu imekutana Septemba 1, 2025 jijini Dar e Salaam
Yule ngosha aliyekikemea chama kwa kuchapisha fomu moja ya urais amesalimika?
 
Akizungumza na waandishi wa habari Septemba 1, 2024 Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ametangaza uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwafuta uongozi wanachama wawili wa chama hicho

Kamati kuu ya CCM imewaondoa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Mkoa wa Lindi, Palina Ninje pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Abdul Zahoro kutokana na kukiuka misingi na maadili ya uongozi

Aidha Kamati kuu maalum ya Chama cha Mapinduzi, chini ya mwenyekiti Rais Samia Suluhu imekutana Septemba 1, 2025 jijini Dar e Salaam
Imekutana Septemba mosi 2025 tena...
 
Hii, ni kazi nzuri. Ila Bado Kuna wenyeviti wengi wa CCM wilaya wa kufukuzwa kazi. Ufagio huu ,uendeleena ikiwezekana ufike kwenye Jimbo la Freeman Mbowe.

IMG-20240901-WA0056.jpg
 
Back
Top Bottom