Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Pesa za ummaView attachment 2108792
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|01|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielekroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards yaani " CDC "
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
Nani hapo kamuiga mwenzake? Tuanzie hapoView attachment 2108792
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|01|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielekroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards yaani " CDC "
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
CHADEMA zenu mnapeleka wapi?Pesa za umma
Chadema mnateseka kwanini?Wamama huko sokoni wanasinzia kwa ugumu wa maisha hizo Kadi kwaajili ya wanye MATUMBO
Inatumika kufanya shopping piaKadi hiyo ina umuhimu gani kwa watanzania!!?
Chama cha watu makini kwelikweli,
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielekroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards yaani " CDC ".
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU