Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
- Thread starter
- #21
Ila naona imewashindaThis means CHADEMA wapo up-to-date sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila naona imewashindaThis means CHADEMA wapo up-to-date sana!
Nasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
Unao ushahidi mkuu?Iyo kadi ya akina dabaya, makonda na JPM imejaa damu za watu akina azory gwanda, kangoye, saa8 waliouwawa chini ya baraka ya jambazi JPM mliofuraia walipochinjwa na miili yao kutoswa baharini na kisha kuokotwa koko beach.
Unao ushahidi mkuu?
Daaah,Naomba tumsamehe bure, Mung atafurahi sana kwa hiloJambazi JPM, liliua watu, nchini watu wanapigwa risasi lenyewe linakenue.
Naliombea lizidi kuangamia na moto wa milele, tupia ll llljizi hilo.
Kudandia treni kwa mbele na pia kwa kwenda mbele. Badala ya kujikita katika kutekeleza ahadi zilizopo katika ilani ya chama, imebakia ni kuigaiga tu.
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielekroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards yaani " CDC ".
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU
CCM imeanza digital campeigh kitambo sana mkuuKudandia treni kwa mbele na pia kwa kwenda mbele. Badala ya kujikita katika kutekeleza ahadi zilizopo katika ilani ya chama, imebakia ni kuigaiga tu.
Ndiyo maana watu wenye ufahamu mzuri siku zote huamini akili ndogo ndizo huongoza akili kubwa hapa nchini. CCM imebakia kuwa kichaka cha kujitafutia umaarufu kinyemela.
Badala ya kuja na mambo makubwa, kuntu na yenye kufikirisha akili, wao kazi yao siku zote ni kudesa tu nondo za wenzao na kujifanya kuwa wao ndio wabunifu na wamiliki halali.
Wahi wahiNasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
sava sava dugu, je mheshimiwa ulitaka wasije na kad za electoenic ilihali umimwengu mzima sasa upo kiganjan, unasahau kuw chama kina mashikamano na chamaadhubt CCP ambacho kina teknlojia ya juu. vip leo digital card iwe kuiga?Kudandia treni kwa mbele na pia kwa kwenda mbele. Badala ya kujikita katika kutekeleza ahadi zilizopo katika ilani ya chama, imebakia ni kuigaiga tu.
Ndiyo maana watu wenye ufahamu mzuri siku zote huamini akili ndogo ndizo huongoza akili kubwa hapa nchini. CCM imebakia kuwa kichaka cha kujitafutia umaarufu kinyemela.
Badala ya kuja na mambo makubwa, kuntu na yenye kufikirisha akili, wao kazi yao siku zote ni kudesa tu nondo za wenzao na kujifanya kuwa wao ndio wabunifu na wamiliki halali.
Chadema wamepanic sana huu uzinduzi,sava sava dugu, je mheshimiwa ulitaka wasije na kad za electoenic ilihali umimwengu mzima sasa upo kiganjan, unasahau kuw chama kina mashikamano na chamaadhubt CCP ambacho kina teknlojia ya juu. vip leo digital card iwe kuiga?
si ni sekunde tu kila shina litakua na odad ya wanachama hai zaid ya milion 100
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielektroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC ".
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU
Ulizinduliwa wapi tena?Huu Mfumo unazinduliwa kila siku
Nataka kadi tano za familia nzimaNasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
Uko mkoa na wilaya gani mkuu?Nataka kadi tano za familia nzima
Lete evidence tafadhali...Ila naona imewashinda
Hiyo ni dhambi ya ngapi? Au amri ya ngapi?Hakuna dhambi mbaya kama kuwa mwanaCCM ,jiungeni tu kwa maslahi ya hapa duniani.
Mimi pia nahitajiNasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
CCM walianza mchakato wa kupata kadi za kielektroniki kabla ya chama chochote cha siasa hapa nchini
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielektroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC ".
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU
Nakubaliana na wewe 100%√CCM walianza mchakato wa kupata kadi za kielektroniki kabla ya chama chochote cha siasa hapa nchini