LGE2024 CCM Yazindua Kampeni Nchi Nzima; Hoja Kuu ni Mbowe, Lissu na Chadema, Aibu Kwao

LGE2024 CCM Yazindua Kampeni Nchi Nzima; Hoja Kuu ni Mbowe, Lissu na Chadema, Aibu Kwao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao.

Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono toka makaburini kuja kuwatia nguvu wakati Makonda juzi kwenye mkutano wake kadhibitisha kuwa wale aliowataja kumtukana bosi wao mitandaoni ndio hao mawaziri waliofukuzwa. Ni jambo la D mbili tuu kuling'amua.

Badala y CCM kutumia nafasi hii kuwajulisha wananchi itafanya nini kuwadhibiti wenyeviti wa mitaa na vijiji ambao walikuwa wamebobea kwenye Rushwa na ubadhilifu wa wanazungumzia watu na chama kisicho madarakani bila kujua kuwa wanaeafanyia promotion.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Wamewaengua wagombea wa vyama vingine kwa wingiili wapite, wakisahau kuwa sasa kuna utaratibu wa kura za HAPANA pia hivyo chaguzi nyingi zinaweza kutangazwa upya maana wanaweza wapinzani wao na hata wanaccm wanaojitambua na hawataki viongozi wabovu wakawaangusha kwa Hapana na kulinda kura hizo za maruhani.

CCM hakika imechoka, hadi Makalla

Anakosa hoja za uhakika?
 
Kama tulivyotarajia tangu mwanzo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeishiwa kabisa mipango baada ya kuwadanganya Wananchi kwa zaidi ya miaka 60.

Uthibitisho wa poromoko hili la Chama hicho kilicholeta kila aina ya dhiki, Laana na Mikosi Nchini Tanzania umepatikana jana kwenye mikutano yake ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa

Screenshot_2024-11-21-13-57-09-1.png
Screenshot_2024-11-21-13-54-34-1.png


Viongozi wote wa ccm waliopanda majukwaani kote Tanzania wametumia muda wote wa hotuba zao kuinadi Chadema badala ya Kutueleza namna ya kutatua shida za Wananchi, Ikiwemo kujenga vyoo kwenye Ofisi za Serikali Nchi nzima ili watendaji wasijisaidie vichakani.

Nachukua Nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha kifo rahisi sana na cha kibwege mno cha ccm , Chama ambacho wote wanaokiunga Mkono hawatauona Ufalme wa Mungu.
 
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao.

Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono toka makaburini kuja kuwatia nguvu wakati Makonda juzi kwenye mkutano wake kadhibitisha kuwa wale aliowataja kumtukana bosi wao mitandaoni ndio hao mawaziri waliofukuzwa. Ni jambo la D mbili tuu kuling'amua.

Badala y CCM kutumia nafasi hii kuwajulisha wananchi itafanya nini kuwadhibiti wenyeviti wa mitaa na vijiji ambao walikuwa wamebobea kwenye Rushwa na ubadhilifu wa wanazungumzia watu na chama kisicho madarakani bila kujua kuwa wanaeafanyia promotion.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Wamewaengua wagombea wa vyama vingine kwa wingiili wapite, wakisahau kuwa sasa kuna utaratibu wa kura za HAPANA pia hivyo chaguzi nyingi zinaweza kutangazwa upya maana wanaweza wapinzani wao na hata wanaccm wanaojitambua na hawataki viongozi wabovu wakawaangusha kwa Hapana na kulinda kura hizo za maruhani.

CCM hakika imechoka, hadi Makalla
View attachment 3157297
Anakosa hoja za uhakika?
Hili guluguja Makalla linachowaza kichwani mwake ni Chadema, Mbowe na Lissu tu, hovyo kabisa.
 
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao.

Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono toka makaburini kuja kuwatia nguvu wakati Makonda juzi kwenye mkutano wake kadhibitisha kuwa wale aliowataja kumtukana bosi wao mitandaoni ndio hao mawaziri waliofukuzwa. Ni jambo la D mbili tuu kuling'amua.

Badala y CCM kutumia nafasi hii kuwajulisha wananchi itafanya nini kuwadhibiti wenyeviti wa mitaa na vijiji ambao walikuwa wamebobea kwenye Rushwa na ubadhilifu wa wanazungumzia watu na chama kisicho madarakani bila kujua kuwa wanaeafanyia promotion.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Wamewaengua wagombea wa vyama vingine kwa wingiili wapite, wakisahau kuwa sasa kuna utaratibu wa kura za HAPANA pia hivyo chaguzi nyingi zinaweza kutangazwa upya maana wanaweza wapinzani wao na hata wanaccm wanaojitambua na hawataki viongozi wabovu wakawaangusha kwa Hapana na kulinda kura hizo za maruhani.

CCM hakika imechoka, hadi Makalla
View attachment 3157297
Anakosa hoja za uhakika?
Ccm ilichoka kitambo sana ni vile tu dola inawabeba
 
Kama tulivyotarajia tangu mwanzo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeishiwa kabisa mipango baada ya kuwadanganya Wananchi kwa zaidi ya miaka 60.

Uthibitisho wa poromoko hili la Chama hicho kilicholeta kila aina ya dhiki, Laana na Mikosi Nchini Tanzania umepatikana jana kwenye mikutano yake ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa

View attachment 3157762View attachment 3157765

Viongozi wote wa ccm waliopanda majukwaani kote Tanzania wametumia muda wote wa hotuba zao kuinadi Chadema badala ya Kutueleza namna ya kutatua shida za Wananchi, Ikiwemo kujenga vyoo kwenye Ofisi za Serikali Nchi nzima ili watendaji wasijisaidie vichakani.

Nachukua Nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha kifo rahisi sana na cha kibwege mno cha ccm , Chama ambacho wote wanaokiunga Mkono hawatauona Ufalme wa Mungu.
Chama kimejaza watu wajinga sn
 
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao.

Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono toka makaburini kuja kuwatia nguvu wakati Makonda juzi kwenye mkutano wake kadhibitisha kuwa wale aliowataja kumtukana bosi wao mitandaoni ndio hao mawaziri waliofukuzwa. Ni jambo la D mbili tuu kuling'amua.

Badala y CCM kutumia nafasi hii kuwajulisha wananchi itafanya nini kuwadhibiti wenyeviti wa mitaa na vijiji ambao walikuwa wamebobea kwenye Rushwa na ubadhilifu wa wanazungumzia watu na chama kisicho madarakani bila kujua kuwa wanaeafanyia promotion.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Wamewaengua wagombea wa vyama vingine kwa wingiili wapite, wakisahau kuwa sasa kuna utaratibu wa kura za HAPANA pia hivyo chaguzi nyingi zinaweza kutangazwa upya maana wanaweza wapinzani wao na hata wanaccm wanaojitambua na hawataki viongozi wabovu wakawaangusha kwa Hapana na kulinda kura hizo za maruhani.

CCM hakika imechoka, hadi Makalla
View attachment 3157297
Anakosa hoja za uhakika?
Sio tena maendeleo? Walisema Upinzani uliwwchelewesha sasa wamefanya nini na wako peke yao.
 
Kama tulivyotarajia tangu mwanzo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeishiwa kabisa mipango baada ya kuwadanganya Wananchi kwa zaidi ya miaka 60.

Uthibitisho wa poromoko hili la Chama hicho kilicholeta kila aina ya dhiki, Laana na Mikosi Nchini Tanzania umepatikana jana kwenye mikutano yake ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa

View attachment 3157762View attachment 3157765

Viongozi wote wa ccm waliopanda majukwaani kote Tanzania wametumia muda wote wa hotuba zao kuinadi Chadema badala ya Kutueleza namna ya kutatua shida za Wananchi, Ikiwemo kujenga vyoo kwenye Ofisi za Serikali Nchi nzima ili watendaji wasijisaidie vichakani.

Nachukua Nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha kifo rahisi sana na cha kibwege mno cha ccm , Chama ambacho wote wanaokiunga Mkono hawatauona Ufalme wa Mungu.
yaani kuishabikia chadema ni sawa na kichaa asiye na akili sasa chama kina migogoro ajabu na bado mtu na akili zako ukaishabike ili upate nini sasa subirini muone mnavyoachwa kama yatima wenzu wanagawanyika
 
yaani kuishabikia chadema ni sawa na kichaa asiye na akili sasa chama kina migogoro ajabu na bado mtu na akili zako ukaishabike ili upate nini sasa subirini muone mnavyoachwa kama yatima wenzu wanagawanyika
Mkuu Mwaka kesho Form sio moja tena, zitakuwa zaidi ya Tatu. Nakushauri tafuta kazi nyingine Mama Out
 
Sio tena maendeleo? Walisema Upinzani uliwwchelewesha sasa wamefanya nini na wako peke yao.
maendeleo yaliyopatikana ndani ya muda mfupi ambao ccm wako pekeyao madarakani ni makubwa mnoooooooo wapinzani wanachelewesha maendeleo imethibitika hivyo hatufanyi makosa tena kuwapa hata cheo kimoja upinzani
 
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao.

Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono toka makaburini kuja kuwatia nguvu wakati Makonda juzi kwenye mkutano wake kadhibitisha kuwa wale aliowataja kumtukana bosi wao mitandaoni ndio hao mawaziri waliofukuzwa. Ni jambo la D mbili tuu kuling'amua.

Badala y CCM kutumia nafasi hii kuwajulisha wananchi itafanya nini kuwadhibiti wenyeviti wa mitaa na vijiji ambao walikuwa wamebobea kwenye Rushwa na ubadhilifu wa wanazungumzia watu na chama kisicho madarakani bila kujua kuwa wanaeafanyia promotion.

Soma Pia: Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Wamewaengua wagombea wa vyama vingine kwa wingiili wapite, wakisahau kuwa sasa kuna utaratibu wa kura za HAPANA pia hivyo chaguzi nyingi zinaweza kutangazwa upya maana wanaweza wapinzani wao na hata wanaccm wanaojitambua na hawataki viongozi wabovu wakawaangusha kwa Hapana na kulinda kura hizo za maruhani.

CCM hakika imechoka, hadi Makalla
View attachment 3157297
Anakosa hoja za uhakika?
CHADEMA tuliambiwa imeshakufa, inakuwaje tena hawa wanachama wetu Wanawapa airtime akina Mbowe na Lissu?
 
Back
Top Bottom