CCM yetu kipaumbele ni miradi mikubwa ya maendeleo, Katiba mpya baadae sana

CCM yetu kipaumbele ni miradi mikubwa ya maendeleo, Katiba mpya baadae sana

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wana Jf, salaam!

Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa Watanzania lakini pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM.

Wengi wetu kipaumbele ni Serikali kuongeza kasi ya kutekeleza miradi ya maendeleo nchini. Suala la Katiba mpya lifuate hapo mbeleni hasa miaka ya 2035 - 2040. CDM wajue kuwa Watanzania hawali katiba, hula maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Msakila Kabende
Kakonko.
 
Ujaeleza katiba mpya inazuia vipi miradi? Hizi ni sheria tu za chaguzi, umiliki na uongozi sasa tatizo liko wapi kuziweka vizuri?

Pili mbona CCM wanasema nao wanataka katiba mpya? je unapingana nao
 
WanaJf,
Salaam!
Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa watanzania. Lkn pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM...
Sasa katiba inakughalimu nini we kiazi. Toka lini CCM ikawa na upendo na wananchi, CCM inaupendo na viongozi. In fact katiba na mapenzi sie tuna taka katiba mpya.
 
Hilo sufuria ni LAZIMA TULITOBOE ili tunywe wote hayo maziwa... KATIBA MPYA NI SASA
Hiwezekani GENGE moja tu kujimilikisha nchi yetu
Uongozi.jpg


Katiba Mpya.jpg
 
WanaJf,
Salaam!
Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa watanzania. Lkn pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM...
Mkeka wa maDC ndo ushapita Mkuu! umechelewa wapi?
 
WanaJf,
Salaam!
Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa watanzania. Lkn pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM...
Kwani hao watanzania wanakula reli na madarasa?
 
Utawezaje kufanya hiyo miradi nje ya katiba? Utajiamulia wewe na mkeo mkaanza kufanya mradi wa maendeleo! Haitawezekana, ujue kila kitu serikali ikifanyacho kimo ndani ya katiba na hata wewe kuandika humu JF kuko ndani ya katiba ikiwemo wewe kukata mitaa nako kumo ndani ya katiba.
 
Mcheki eti huyu kahaba hataki katiba mpya anataka miradi mikubwa. Hebu dunia simama nishuke
 
Back
Top Bottom