Pre GE2025 CCM Zanzibar yasema kilichozungumzwa na NKM Zanzibar Dkt. Dimwa kuhusu kumuongezea muda Rais Mwinyi ni maoni yake binafsi!

Pre GE2025 CCM Zanzibar yasema kilichozungumzwa na NKM Zanzibar Dkt. Dimwa kuhusu kumuongezea muda Rais Mwinyi ni maoni yake binafsi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM Zanzibar imemruka kimanga Naibu Katibu mkuu Dr Mohamed Dimwa aliyesema Kamati maalumu ya CCM Zanzibar imependekeza Rais Mwinyi aongezewe Muda Kutoka miaka 5 hadi 7

Katibu mwenezi CCM Zanzibar Khamis Mbeto amesema hakuna kikao chochote cha Chama kilichofikia makubaliano hayo na kwamba hayo ni Maoni Binafsi ya Dr Dimwa

Source Mwananchi
Endeleeni tu na huu ujinga wenu. Mbona mnachokitafuta, mtakipata tu miaka siyo mingi kuanzia sasa.
 
Back
Top Bottom