GarageRules
Member
- Aug 8, 2008
- 26
- 0
Haya wakuu naona tumeanza kuchanja mbuga, nimepata CCNP - Pass4Sure!!!
Nilivyoiangalia haraka haraka usiku nimeona itakusaidia sana kama uta go thru materials za mkuu Kilongwe(CCNA/CCNP/CCIE Tutorial), kwa vile hii ni maswali na majibu!! Professor wangu kanambia kuwa maswali almost yote utakayokumbana nayo katika chumba cha mtihani utakuwa umeisha yaona katika hizi material. Hivyo changamkeni!!!!!
Nilivyoiangalia haraka haraka usiku nimeona itakusaidia sana kama uta go thru materials za mkuu Kilongwe(CCNA/CCNP/CCIE Tutorial), kwa vile hii ni maswali na majibu!! Professor wangu kanambia kuwa maswali almost yote utakayokumbana nayo katika chumba cha mtihani utakuwa umeisha yaona katika hizi material. Hivyo changamkeni!!!!!