CCTV chumba cha housegirl

..Aaaaggh kumbe hii ni Stori ya Kutunga!!!,ungesema mapema Jibaba. basi usiku mwema. Ngoja nikakojoe nikalale mie.

Si ya kutunga, ila ni mekuhakikishia tu kuwa hakuna uwezekano wowote wa mtu yeyote mwingine kumtambua mteja wetu kwa sababu sijatoa identification details zozote. Kwa hiyo mteja wetu ana amani 100%. Mjadala huu haumharibii chochote.
 
Kwa hiyo anataka kupiga chabo au ni vipi?
..Anataka aone machejo ya mzee na house girl wake. Huenda likawa darasa tosha kabisa na yeye aka-improve you never know!!
 
Ni kweli sana hii. Kuna hoteli moja hapa A town walituita wakatuambia watu wao wa security wanalalamika kuna camera hazisomi, na hii ilikuwa baada ya mteja mmoja kulalamika kuibiwa. Tulipofika tukakuta kuna watu walifanyia utundu top floor wakavusha camera moja ya kwenye corridor through the ceiling wakatumbukizia chumba kimojawapo. Na tulipo-search kwenye back-up ya control room tukakuta footage za camera hiyo zipo zinaonesha chumba hicho. Mhusika alifukuzwa kazi siku ileile lakini mabosi wa hoteli waliamua kutomshitaki ili wasiharibu imani ya wateja wao through the publicity ambayo ingetokea.
 
<br />
<br />
LAKINI KWA BIASHARA ZAKO UMEHARIBU. KWA SABABU KAMA KUNA MTEJA MWINGINE ALIKUWA ANA MPANGO WA KUWEKA CCTV KWENYE CHUMBA CHA HOUSE GIRL, AKISOMA HAPA HATAFANYA. HIVYO UTAKOSA MAHELA.
Inawezekana nikapata wateja wengi zaidi, hasa wale ambao walikuwa hawajafikiria kuwa kumbe hii inawezekana. Watu wana fantasies zao za ajabu.
 
akisoma hapa atajitambua na msubiri aje awashukie ofisini kwenu.
 
Anataka kula deo beki tatu atapokuwa analiwa mambo.
 
Elimu kubwa unanipa hii mkubwa wangu, hizi njaa zinatutuma mengi. Hii biashara sisi tumeingia kizalizali tu kwa kuunganishiwa na makampuni ya ulinzi ambayo mengi ni ya haohao maafande wastaafu, kwa hiyo tunaamini hizo sheria wanazijua, na hata kikisanuka ni wao wanajibu. Lakini kiukweli hizi tenda za pembeni (au niite mpango wa kando) wao hawahusiki, na tunamwambia kabisa mteja kuwa anafanya at his/her own risk, kikisanuka inakula kwake.
 
akisoma hapa atajitambua na msubiri aje awashukie ofisini kwenu.
Hata akijihisi hawezi kuja kulalamika sababu huu ulikuwa mpango wa kando. Akitaka ang'oe mwenyewe lakini hatudaiani.
 
Ikitokea huyo mama laptop yake akaipeleka kwa fundi au ikaibiwa hizo videos zinaweza kuvuja na kumuharibia huyo hg maisha yake ya baadaye, imagine after 15 years hg amekuwa mtu mzima na watoto wake mkubwa na video zake zimeanikwa mtandaoni
 
Ikitokea huyo mama laptop yake akaipeleka kwa fundi au ikaibiwa hizo videos zinaweza kuvuja na kumuharibia huyo hg maisha yake ya baadaye, imagine after 15 years hg amekuwa mtu mzima na watoto wake mkubwa na video zake zimeanikwa mtandaoni
Kwa hilo hata mazaa anajielewa kuwa kwenye masuala yote ya computer yeye ni mteja wetu wa kudumu, hilo tulimtahadharisha sana.
 

Professionalize your business sir. Acheni kuendesha biashara kizalizali.
 
<br />
<br />
hii ni DIFFERENTIAL EQUATION auDIFFERENTION INTEGRATION?maana du! Inaonesha uli-score A++ O-LEVEL na A-LEVEL.big up mkulu
 
mi nahisi huyu mama anataka apate picha za huyu mwanadada hg hasa picha za akiwa naked wakati anavua au kuvaa nguo na huenda anataka azifanyie biashara. NI MAWAZO YNG TU!
<br />
<br />
mh! Hili nalo neno
 
<br />
<br />
Kama siri imefichuliwa hapa, unaweza kutaja jina la huyo mama,jina la kampuni iliyo install CCTV na jina la huyu mtu aliyevunja mkataba wa kutunza siri za wateja? Kama huwezi basi HAKUNA SIRI ILIYOVUJA!!
 
huyo ana mashaka na hicho chumba cha hgirl kuwa kinatumika isivyo halali, anataka kufanya monitoring ya kila kinachoendelea chumbani humo na hiyo ina faida na hasara zake inabidi a get ready to face the consequences. i remember mume aliwahi kusafiri na kurudi na cctv camera akataka kuifunga mbele na nyuma ya nyumba honestly sikupenda idea hiyo maana zinaweza kuleta athari nyingi hata kufikia kuhatarisha uhusiano na amani iliyopo maana wakati mwingine sehemu safe ya kukutana na mpango wa kando huwa ni nyumbani kwako! sasa with those CCTV inakuwaje hiyo!
 

Ama kweli JF is the home of the great thinkers....Naona assumption za proval za math zinatumiwa kumpa ushauri mtu....teh...teh......
 
Inawezekana nikapata wateja wengi zaidi, hasa wale ambao walikuwa hawajafikiria kuwa kumbe hii inawezekana. Watu wana fantasies zao za ajabu.

Na mm nataka kwa Houseboy wetu...coz naona red alert kwa dada zangu. tukiwa tayari nitakushtua mkuu....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…