CCTV Footage of Embakassi East MP Babu Owino Shooting a DJ at a Night Club

Hivi nyie mnajuaje news zinazotrend Kenya kwenye twitter? Mnasearch vipi?
Huletwa kama ad na watu wenu , saa iingine watu wenu hufananisha mambo na Bongo hivyo uki search mambo ya huku unashangaa unakutana na news za Kenya. That’s what I know from my little understanding.
 
club za kifala hizi unaruhusiwa vp kuingia na silaha?
 
Huletwa kama ad na watu wenu , saa iingine watu wenu hufananisha mambo na Bongo hivyo uki search mambo ya huku unashangaa unakutana na news za Kenya. That’s what I know from my little understanding.
Asante kwa kunijuza.
 
Kwa jinsi hili tukio limetokea Al Shaabab wanajifunza kitu kwamba unaweza kuingia club na weapons!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…