Hhhhhhhh ata Putin umesoma nae wwHuyu mwizi nilisoma Nae anaitwa kipona Zechariah kwao ni bunda
Putin alisoma na shemeji yanguHhhhhhhh ata Putin umesoma nae ww
Ulisoma nae level gani ya elimu mkuuHuyu mwizi nilisoma Nae anaitwa kipona Zechariah kwao ni bunda
Mwizi hamuui, ila anayekufuru mtume mnauaHao wanaionea Kariakoo hatuuwi wezi. Akaibe Kwengine kama hajafungwa tairi huyo.
Shida haziwekwi bureCctv camera ni muhimu sana watu hawaelewi tu.
Sio kwenye biashara, hata nyumbani ni muhimu sana kwenye mazingira ya nyumbani nje ya nyumba.
Marekani na ulaya matukio mengi sana ya uhalifu yametatuliwa kwa msaada wa cctv camera. Wao hii teknolojia ilianza miaka ya 80s na 90s.
Sasa hivi karibu kila mtaa ama nyumba wana cctv camera.
Tubadilike, tuweke cctv camera, zipo za bei ndogo sana na faida yake ni kubwa sana
Soma sheria ya mwiziMwizi hamuui, ila anayekufuru mtume mnaua
Anaetukana, huwezi kumkufuru Mtume.Mwizi hamuui, ila anayekufuru mtume mnaua